Masikini siwataki pm maana naona mnajaa kuomba hela

Jamaa kaeni chonjo soon kuna watu watalizwa hapa
 
Tatizo la afya ya akili ni kubwa nowdays
 
Tajiri vipi wife alipona vidonda vya tumbo au bado anakula wali mkavu na ndizi?
 
Njaa mbaya jamani vijana tutafute kazi za maana za kufanya hii nayo eti ni nyezo ya mtu kuseti watu apate chochote kitu kwa njia ya utapeli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ