Masikini wana chuki na mimi kwakuwa wamezeeka hawana pesa

Masikini wana chuki na mimi kwakuwa wamezeeka hawana pesa

Huyu ni tajiri wa wapi wakuu mbona hatumuoni ata FORBES..hata TOP 100 ya MATAJIRI hapa BONGO hayupo msaada tafadhali au mmetumia CODE?
 
Kila nikiangalia nyuzi zinazoniongelea Mimi tajiri wa hii dunia ni za masikini ambao nawaambia ukweli kwamba waache kuwa malofa watafute hela wanafikiri kwamba nitaacha kusema huu ukweli nyie masikini Mimi nipo sana humu tafuteni hela acheni kuwa malofa kuniandalia vi nyuzi vyenu kisa mnanjaa mnataka Mimi ndio nihudumie wake zenu masikini ni takataka na hapo ni bado hamjasema mafukara nyie tafuteni hela masikini nyie
Nna wasiwasi wewe sio mwenyewe jina hilo.
Tajiri unapata wapi muda wa kutoa mipasho humu
 
Back
Top Bottom