Masikini wanaishi maisha ghali kuliko matajiri

Masikini wanaishi maisha ghali kuliko matajiri

Trubarg

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2020
Posts
4,388
Reaction score
7,223
Sidhani kama kuna mtu anabisha, let's look on this example; Masikini coz hana hela itambidi badala ya kununua mchele kwa bei ya jumla ya sh. 2,100 itampasa anunue kwa rejareja kwa sh. 2,500.

Badala ya kununua gesi mtungi wa kilo 15 kwa 56,000 italazimu anunue mtungi wa gesi wa kilo 5 kwa sh.22,000.
Mfano mwingine: Kwa kuwa masikini Hana uwezo wa kununua gesi anaamua kununua mkaa, atajikuta anatumia mkaa wa 2000-3000 kwa siku, ukiweka kwa mwezi ni 60k, ukiweka na thamani ya muda inaweza fika 80k badala ya 56k

Leta mifano mingine.
 
Sidhani kama Kuna mtu anabisha..let's look on this example;
Masikini coz hana hela itambidi badala ya kununua mchele kwa bei ya jumla ya sh. 2,100 itampasa anunue kwa rejareja kwa sh. 2,500. Badala ya kununua gesi mtungi wa kila 15 kwa 56,000 italazimu anunue mtungi wa gesi wa kilo 5kwa sh.22,000. Leta mifano mingine
Endelea..
Badala ya kupanda daladala 600 ananunua mafuta lita kwa bei gani.?
 
Sidhani kama Kuna mtu anabisha..let's look on this example;
Masikini coz hana hela itambidi badala ya kununua mchele kwa bei ya jumla ya sh. 2,100 itampasa anunue kwa rejareja kwa sh. 2,500. Badala ya kununua gesi mtungi wa kila 15 kwa 56,000 italazimu anunue mtungi wa gesi wa kilo 5kwa sh.22,000. Leta mifano mingine
Mkuu, poor and middle class used their after taxed hard earned money kuishi maisha while rich people use untaxed money kuishi maisha and get taxed what's left of it. And that's a very big difference.
 
Endelea ..
Badala ya kupanda daladala 600 anannuua mafuta lita kwa bei gani.?
Badala ya ku
Acha uongo wewe,,,, unamuongelea huyu masikini anaemsomesha mwanawe shule ya msingi mpiga miti wakati tajiri ye wake anasoma international school of Tanganyika, au masikini gani unamuongelea?
Mkuu zingatia gharama atakazoingia huyo mtoto na familia kutoboa maisha
 
Maisha ya mwalimu wa mshara wa laki 4 ni expensive kuliko maisha ya said bakhresa sababu mwalimu anatumia much of his income mf 90% ya income kwa kula while said anatumia 0.001 ya income kwa kula
Nashukuru kwa kunielewa...mwalimu akikopa anawekewa riba ya 35% wakati Bakhresa anapaswa mkopo wa riba ya .2% tena kwa kubembelezwa
 
Back
Top Bottom