Masikini wanaishi maisha ghali kuliko matajiri

Masikini wanaishi maisha ghali kuliko matajiri

Matumizi ya mtu siku zote yanaendana na kipato chake lakini wakati flani ni jambo lakubadili mind set wahenga wanasema cheap is expensive
 
Ndo gharama nazoziongelea hapa...mwalimu akikopa 1m anarudisha 3m, wakati Bakhresa kwa rate ya 1m anarudisha 10k.
Na mabenk yanastawi kwa kuwafilisi watumishi ambao hawana namna ya Kupata pesa nyingi za kujenga, kununua gari, kusoma nje ya mkopo.
Tena wa miaka 8 ni gharama sana.
Unakopa milioni 20 unarejesha milioni 18
 
Nazijua...angalia percentage wise kwenye kipato chake au angalia gharama anazoingia ukilinganisha na masikini



Kwa hiyo unataka kusema maskini anayekula kwa Mamalishe mfano ugali Mbogamboga Kwa buku ana nafuu sana kuliko tajiri anayekula ugali huo huo kwa shilingi 5,000 -10,000 kwenye hotel/restaurant ?

Je hapo nimekuelewa?

Sasa kama ndivyo nikuulize;
Je unafahamu risks (hatari) zinazoambatana na maskini kwenda kula kwa Mamalishe?

Uchafu huleta magonjwa na kutibiwa ni hela hapo gharama .

Kwa Mamalishe mazingira huwa sio rasmi, maji haba, ufahamu wa mambo ya hygien related issues hawajui na hawako tayari kujua wabishi !

Ushirikina Je ?

Uwezekano ni mkubwa wa kununua inferior products sababu ya Mtaji wao kuwa Mdogo Kwa kudunduliza.

Utakuta mafuta wananunua yale ya ubora wa chini kabisa. Sasa kwa mlaji hiyo ni hatari kubwa sana kiafya.

Umetumia gharama ndogo kula kwa Mamalishe lakini risks zake zitaweza kukugharimu pakubwa!

Buyer beware
 
Mimi masikini...kutumia 200k kwako inaweza kuwa ni sehemu ndogo sana kwenye kipato chako...ukitaka huduma unaweza zipata kwa bei rahisi kuliko masikini
Hapana matajiri wanatumia sana pesa kuliko masikini!!! Ndio maana nikakuuliza kaka wewe ni tajiri au masikini??
 
Endelea ..
Badala ya kupanda daladala 600 anannuua mafuta lita kwa bei gani.?
Akipanda daladala kwa siku 700 go and return 700=1400 kwasiku ..

Chukua 1400x7wiki=9800..
Halafu chukua 9800x4mwezi=117600..
Halafu chukua 117600x15miaka aliyokaa mjini akipanda daladala kila siku

😂😂😂😂😂
 
Umetumia gharama ndogo kula kwa Mamalishe lakini risks zake zitaweza kukugharimu pakubwa!
Kihalisia ukiambiwa uthibitishe hizo risk ni vigumu sana, ni kama kuthibitisha madhara yaliyosababishwa na mionzi ya minara ya simu (tuliaminishwa kuwa minara kuwa karibu na makazi inaleta mionzi yenye madhara makubwa sana).
 
Kwa hiyo unataka kusema maskini anayekula kwa Mamalishe mfano ugali Mbogamboga Kwa buku ana nafuu sana kuliko tajiri anayekula ugali huo huo kwa shilingi 5,000 -10,000 kwenye hotel/restaurant ?

Je hapo nimekuelewa?

Sasa kama ndivyo nikuulize;
Je unafahamu risks (hatari) zinazoambatana na maskini kwenda kula kwa Mamalishe?

Uchafu huleta magonjwa na kutibiwa ni hela hapo gharama .

Kwa Mamalishe mazingira huwa sio rasmi, maji haba, ufahamu wa mambo ya hygien related issues hawajui na hawako tayari kujua wabishi !

Ushirikina Je ?

Uwezekano ni mkubwa wa kununua inferior products sababu ya Mtaji wao kuwa Mdogo Kwa kudunduliza.

Utakuta mafuta wananunua yale ya ubora wa chini kabisa. Sasa kwa mlaji hiyo ni hatari kubwa sana kiafya.

Umetumia gharama ndogo kula kwa Mamalishe lakini risks zake zitaweza kukugharimu pakubwa!

Buyer beware
Hizo gharama ndo nazozizungumzia
 
Akipanda daladala kwa siku 700 go and return 700=1400 kwasiku ..

Chukua 1400x7wiki=9800..
Halafu chukua 9800x4mwezi=117600..
Halafu chukua 117600x15miaka aliyokaa mjini akipanda daladala kila siku

😂😂😂😂😂
Unaongelea miasaba gharama ya kupanda, Kuna suala la muda na disturbances..ukizidhamimisha unafika 10k
 
Unaongelea miasaba gharama ya kupanda, Kuna suala la muda na disturbances..ukizidhamimisha unafika 10k
Sawa bhana😂😂mwamedi nasikia huwa analala kuanzia saa 5 usiku wakati masikini saa1 nipo kwenye neti
 
Back
Top Bottom