Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Mifano yake ipo very clear, kipi usichoelewa ?Maisha ghali unayaelewa lakini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mifano yake ipo very clear, kipi usichoelewa ?Maisha ghali unayaelewa lakini?
Endelea ..
Badala ya kupanda daladala 600 anannuua mafuta lita kwa bei gani.?
Noma sana mkuu...anapunguza matumizi but anaingia gharama Zaidi...kuna jamaa alishawahi chelewa interview akiwa kwenye daladala za Mbagala.Badalaya kupanda bajaji ya buku ili awahi elfu 10+, anapanda daladala ya 600 anachelewa na kukosa hela
Hayo matumizi ya masikini anayapata kwa bei ghali kuliko matajiri.. Mfano mche mmoja wa sabuni wenye vipande vitano unauza kwa 3000, but kwa kuwa masikini Hana ela atanunua kipande kimoja kimoja kwa sh.800, so vipande vinne atanunua kwa 4000.Matumizi yote ya nyumbani ya maskini kwa mwaka hayafiki hata ada ya muhula wa kwanza anayolipa tajiri kwa mwanae,,,sasa sijui unawaongelea matajiri wa kiwango kipi?
Utofauti manunuzi ya jumla na rejareja kwenye ununuzi wa bidhaa hakuhalalishi ughali wa maisha baina ya masikini na tajiri.Masikini akinunua Kg ya mchele wa kiwango cha kati 2000 jua fika tajiri atanunua mchele wa quality ya juu wa kg 3500.Hayo matumizi ya masikini anayapata kwa bei ghali kuliko matajiri.. Mfano mche mmoja wa sabuni wenye vipande vitano unauza kwa 3000, but kwa kuwa masikini Hana ela atanunua kipande kimoja kimoja kwa sh.800, so vipande vinne atanunua kwa 4000.
Riba ya Mkopo inategemeana na muda wa mkopo na sio vinginevyo, matajiri na wafanyabishara wakubwa kukopa ni lazima sio kubebembelezwa.Nashukuru kwa kunielewa...mwalimu akikopa anawekewa riba ya 35% wakati Bakhresa anapaswa mkopo wa riba ya .2% tena kwa kubembelezwa
Utofauti manunuzi ya jumla na rejareja kwenye ununuzi wa bidhaa hakuhalalishi ughali wa maisha baina ya masikini na tajiri.
Mimi ndo maana niliamua niwe nakula nyumbani tuKwa hiyo unataka kusema maskini anayekula kwa Mamalishe mfano ugali Mbogamboga Kwa buku ana nafuu sana kuliko tajiri anayekula ugali huo huo kwa shilingi 5,000 -10,000 kwenye hotel/restaurant ?
Je hapo nimekuelewa?
Sasa kama ndivyo nikuulize;
Je unafahamu risks (hatari) zinazoambatana na maskini kwenda kula kwa Mamalishe?
Uchafu huleta magonjwa na kutibiwa ni hela hapo gharama .
Kwa Mamalishe mazingira huwa sio rasmi, maji haba, ufahamu wa mambo ya hygien related issues hawajui na hawako tayari kujua wabishi !
Ushirikina Je ?
Uwezekano ni mkubwa wa kununua inferior products sababu ya Mtaji wao kuwa Mdogo Kwa kudunduliza.
Utakuta mafuta wananunua yale ya ubora wa chini kabisa. Sasa kwa mlaji hiyo ni hatari kubwa sana kiafya.
Umetumia gharama ndogo kula kwa Mamalishe lakini risks zake zitaweza kukugharimu pakubwa!
Buyer beware
Haipo haipo haipoUliza uambiwe
Ila hakuna mkopo wa 1 hadi 2%Riba ya Mkopo inategemeana na muda wa mkopo na sio vinginevyo, matajiri na wafanyabishara wakubwa kukopa ni lazima sio kubebembelezwa.
Alieleta uzi kakaa kimya unaingialia wewe, au bwana wako mleta uziMaskini anaemzungumzia ni mumeo wewe
Kihalisia ukiambiwa uthibitishe hizo risk ni vigumu sana, ni kama kuthibitisha madhara yaliyosababishwa na mionzi ya minara ya simu (tuliaminishwa kuwa minara kuwa karibu na makazi inaleta mionzi yenye madhara makubwa sana).
Mleta uzi ni ndugu yangu vipi unataka akuoe?Alieleta uzi kakaa kimya unaingialia wewe, au bwana wako mleta uzi
Itakuwa basha wako sio kwa shobo izo,,,, yani mwenyewe amenijibu vizuri tu we unaanza matusi, ila machoko ndo mlivyo shobo mnaziweza kuwashinda hata wanawakeMleta uzi ni ndugu yangu vipi unataka akuoe?