Masikini wasipewe vibali kujenga mjini. Huchafua miji na vijumba vyao

Masikini wasipewe vibali kujenga mjini. Huchafua miji na vijumba vyao

Mimi sina pesa Mkuu ninaye Mungu.

Hekima, busara na utu ni pamoja na kusema ukweli na haki.

Sisi masikini Kwa kweli hatustahili kujenga nyumba mjini zitakuwa ni takataka tuu
Hakika, hakika nakwambia usiombe mungu akugeuzie shingo kwasababu ya kiburi Cha uzima na pesa!!!!!!
 
Tanzania hii ni kubwa sana.. kuna maeneo mengine hata hatujui lini yatakuja kufikiwa watu kuishi.. hivi hatuwezi tenga maeneo ya mbali huko kwa ajili ya watu wenye uwezo kama Beverly Hills? Yaani hawa kina bakhresa, Mo, Asas n.k wakapewa eneo na wenzao then wakajenga makasri huko makubwa na wakatusaidia kujenga miji ikawa mizuri na mikubwa?

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
 
Tajiri wa mwaka 1970 aliyejenga mjini kati ndiye masikini wa leo hapo mjini kati na kijumba chake kinatakiwa kiondoke hapo kati...

Hata wale wanaojenga nje ya mji baada ya miaka kadhaa watajikuta wapo mjini kati, kama hawatoupdate nyumba zao ina maana mji utaonekana una masikini katikati ya mji.

Unforgettable
Time travel

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom