Fundi mahiri wa ujenzi
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 4,159
- 2,844
Hakika, hakika nakwambia usiombe mungu akugeuzie shingo kwasababu ya kiburi Cha uzima na pesa!!!!!!Mimi sina pesa Mkuu ninaye Mungu.
Hekima, busara na utu ni pamoja na kusema ukweli na haki.
Sisi masikini Kwa kweli hatustahili kujenga nyumba mjini zitakuwa ni takataka tuu