Tajiri wa mwaka 1970 aliyejenga mjini kati ndiye masikini wa leo hapo mjini kati na kijumba chake kinatakiwa kiondoke hapo kati...
Hata wale wanaojenga nje ya mji baada ya miaka kadhaa watajikuta wapo mjini kati, kama hawatoupdate nyumba zao ina maana mji utaonekana una masikini katikati ya mji.
Unforgettable