Masimango na kejeli kwa wanaoonekana wamechelewa kuoa/ kuolewa na kupata watoto uzeeni au umri ukiwa umekwenda

Ndiyo hakuna asiependa heshima
Nyie mndio mnaoendekeza utamaduni wa kunyanyapaa watu wasiooa.

Yani uneshakariri. Kuoa = Heshima.

Wakati kuna walevi mbwa kibao wameoa na wanapiga wake zao kila siku na kufanya mambo ya kujivunjia heshima.

Halafu kuna watu poa tu hawajaoa.
 
Nyie mndio mnaoendekeza utamaduni wa kunyanyapaa watu wasiooa.

Yani uneshakariri. Kuoa = Heshima.

Wakati kuna walevi mbwa kibao wameoa na wanapiga wake zao kila siku na kufanya mambo ya kujivunjia heshima.

Halafu kuna watu poa tu hawajaoa.
Kuoa ni heshima full stop

Kuona kwako walevi wameoa haimaanishi kuoa siyo kitu cha maana na heshima.
 
Na wewe usilete mambo yako ya kulazimisha kuwa kuoa siyo kitu cha heshima
 
Ukikosa mtoto nenda vituo vya watoto yatima chukua mmoja au wawili watunze waite kwa majina yako,

kuhusu kuoa sio jambo la lazima ndomaana hata Kwenye hizo Dini zenu mnaambiwa huko mbinguni hakuna mambo za mke na mume.
Ukose mtoto kwa sababu za kiafya ila siyo kwa sababu za utoto na uzembe wako.

Utakuwa kichaa uwe na uwezo wa kuzaa halafu umeacha kuzaa wako ukaenda kutafuta watoto wa watu wa wengine ukawaita kwa jina lako.
 
Ukose mtoto kwa sababu za kiafya ila siyo kwa sababu za utoto na uzembe wako.

Utakuwa kichaa uwe na uwezo wa kuzaa halafu umeacha kuzaa wako ukaenda kutafuta watoto wa watu wa wengine ukawaita kwa jina lako.

Sio ukichaa ni maamuzi tu, Muda mwingne Unaweza kufanya kitu ukaonekan kichaa ila matokeo ndo yatatenganisha vichaa na walio timamu.
 
Na wewe usilete mambo yako ya kulazimisha kuwa kuoa siyo kitu cha heshima
Kwani wapi nimesema kuoa si kitu cha heshima?

Unajua kusoma kwa ufahamu?

Kwanini unaweka false dichotomy kwamba kuoa lazima ni kitu cha heshima au si kitu cha heshima? Kwa nini unaona mtu akisema kuoa si lazima kiwe kitu cha heshima, basi amemaanisha kuwa kuoa ni lazima kiwe ni kitu kisicho cha heshima?

Do you not see this as a false dichotomy logical fallacy?
 
Naunga mkono hoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…