Mkuu,Kabla sijafika floor ya 3 kama niko hai lazima nioe kuchelewa kuoa siyo mpango wala nini unakuja kuwa lijamaa la hovyo hata watoto hawakuheshimu unakua mjinga mjinga
Prove Mungu yupo.
Kwasababu ni hitaji la msingi na heshima piaMkuu,
Unataka kuoa ili watoto wakuheshimu?
Unataka kuoa ili watoto wakuheshimu?Kwasababu ni hitaji la msingi na heshima pia
Ndiyo hakuna asiependa heshimaUnataka kuoa ili watoto wakuheshimu?
Nyie mndio mnaoendekeza utamaduni wa kunyanyapaa watu wasiooa.Ndiyo hakuna asiependa heshima
Kuoa ni heshima full stopNyie mndio mnaoendekeza utamaduni wa kunyanyapaa watu wasiooa.
Yani uneshakariri. Kuoa = Heshima.
Wakati kuna walevi mbwa kibao wameoa na wanapiga wake zao kila siku na kufanya mambo ya kujivunjia heshima.
Halafu kuna watu poa tu hawajaoa.
Hapana, unalazimisha majibu rahisi kwa maswali magumu kama kawaida yenu wabongo wengi.Kuoa ni heshima full stop
Na wewe usilete mambo yako ya kulazimisha kuwa kuoa siyo kitu cha heshimaHapana, unalazimisha majibu rahisi kwa maswali magumu kama kawaida yenu wabongo wengi.
Yani unaishi maisha ya kukariri kariri, kuishi kwa formula rahisi rahisi. Kulazimisha lazimisha "Full Stop".
Kama kuoa ni heshima wanaooa wasingekuwa na scandal za ku cheat nyingi hivi.
Ukose mtoto kwa sababu za kiafya ila siyo kwa sababu za utoto na uzembe wako.Ukikosa mtoto nenda vituo vya watoto yatima chukua mmoja au wawili watunze waite kwa majina yako,
kuhusu kuoa sio jambo la lazima ndomaana hata Kwenye hizo Dini zenu mnaambiwa huko mbinguni hakuna mambo za mke na mume.
Mkuu hadhi ya mwanamke ina sifa zipi..Beijing 1995 imeharibu hadhi ya mwanamke wa Ki Afrika.
Matokeo.....single mothers....ushoga.....n.k.
Na bado...........
Ukose mtoto kwa sababu za kiafya ila siyo kwa sababu za utoto na uzembe wako.
Utakuwa kichaa uwe na uwezo wa kuzaa halafu umeacha kuzaa wako ukaenda kutafuta watoto wa watu wa wengine ukawaita kwa jina lako.
Kwaiyo ushoga unaharibu hadhi ya mwanamke na sio mwanaume?Beijing 1995 imeharibu hadhi ya mwanamke wa Ki Afrika.
Matokeo.....single mothers....ushoga.....n.k.
Na bado...........
Kwani wapi nimesema kuoa si kitu cha heshima?Na wewe usilete mambo yako ya kulazimisha kuwa kuoa siyo kitu cha heshima
Hujui uanzie wapi au huna pa kuanzia?
Tuko pamoja😄😄Nikifika miaka 50 panapo majaliwa yake rabana natuma mshenga
Naunga mkono hojaHabari za muda huu marafiki,
Siku za hivi karibuni kumekuwa na hali ya kushangaza kustaajabisha kwenye jamii yetu na hasa huku mitandaoni.
Kumekuwa na wimbi la watu kuwasimanga, kuwakejeli na hata kuwacheka ndugu zetu, jamaa zetu na marafiki zetu wanaoonekana kwa vigezo, mitazamo na viwango vilivyowekwa kwenye jamii kuwa wamechelewa kuoa au kuolewa hivyo kuonekana wamepata watoto wa uzeeni.
Ni jambo linaloonekana kama la kawaida lakini kwa upande mwingine linasononesha na kuvunja mioyo ya watu walioamua kujenga familia.
Ni kauli za kitoto zinazoonyesha kuwa bado hawajakomaa kiakili kwenye ulimwengu huu uliojaa harakati na purukushani za kila aina.
Ningependa kuchukua nafasi hii kuwakumbusha hao wenye kuwakejeli wengine kwenye hili ya kuwa.
1) Maisha ni fumbo zito Sana ambalo mara nyingi ni wachache Sana wenye kufumbua. Mara nyingi mipango yako inaweza ikapishana na mipango ya Mungu.
2) Uhai na kifo ni vyake Mungu mwenyewe kwani hakuna ajuaye kuwa amebakisha muda gani wa kuishi hapa duniani. Wapo vijana wengi wametangulia mbele za haki wakiacha watoto wao na familia zao zikiteseka na kuwaacha wazee wakiendelea kulea watoto wao wa uzeeni mpaka wakijitegemea na kufurahia matunda yao. Hivyo kusema kuwa mwanaao akifika miaka kadhaa wewe utakuwa umeshachoka au umeshakufa ni maneno ya kufuru au ya mtu asiye na Imani kwa mola wake mlezi.
3) Kwenye maisha kila mtu Mungu amemuwekea wakati wake wa kufanya jambo lake kwa rehema zake. Wapo watu waliowahi kuoa lakini Mungu akawanyima watoto mpaka wanazeeka na wengine wanawapata uzeeni kabisa. Wapo watu wamejikuta wapo jela wakitumikia vifungo virefu na mpaka wanatoka umri umekwenda na wanaamua kujenga familia. Wapo watu walikuwa wanaugua kwa muda mrefu na hatimaye wakapona na kuanzisha familia. Hivyo basi kama wewe umewahi ni sahihi kwako lakini haiwezi kuwa makosa kwa anayeonekana amechelewa.
4) Changamoto za kifamilia na vifo.
Kuna mwingine anawahi kuoa lakini Kati Kati ya safari anawapoteza mke na watoto wote kwa pamoja Kwa ajali au maladhi ya kawaida na anaamua kuoa na kuanzisha familia upyaaa.
Kwa kifupi mambo na changamoto za kidunia ni nyingi zinazopelekea watu kuonekana wamechelewa kupata watoto au kuoa na kuolewa. Tujifunze kuwa wastaarabu kwenye maisha ya watu kwani hatujui matamshi yetu yanawaathiri vipi wenzetu.
Niko tayari kusahihishwa.
Nawasilisha.