Masister duu na wanawake wa maofisini mnatembea na vinyesi

Huku siku hizi watoto wa kiume ni wengi kuliko wanaume
Hakuna dada anayejipenda atafanya ujinga huo watu wananawa na maji then wanajikausha na hizo tissue na hizo wet tissue mara nyingi tunafutia viatu au mikono baada ya kula umenawa shombo ya ChAkula kama haijatoka unafuta nayo mana zinakuwa na harufu ya marashi
 
Halafu sasa ukipiga mashine wanaanza kutoa harufu mbayaaaaa, aiseee maji ni muhimu yatumike
 
Wa kwetu hapa nakataa, wale wanaotumia hizo karatasi sijui tissue wanawapa shida na wengine ujue.
 
Nani kakuambia dar tuna shida? shida ya nini wakati kila kitu kipo,kama vyakula mnatuletea tunawapa chenchi, na kama ni papa zinapatikana kibao za kihaya,shida mnazo nyie huko porini
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] duuh!
 
Kwakweli hajui hizo wipes znatumika vipi ...anatujazia nzi tuu hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…