Masister duu na wanawake wa maofisini mnatembea na vinyesi

Masister duu na wanawake wa maofisini mnatembea na vinyesi

Ebwana kweli kuna mmoja nimetoka kumnyonya muda huu daaaaah nimekula sana mbolea [emoji83] [emoji83] [emoji48] [emoji48] [emoji276] [emoji276]
Mkuu unakautamaduni kakunyonya sehemu ya mbolea??
 
Ungependa waanze kubeba na vikombe vya kunawia? Kinachofuata sabuni na kitaulo. ...[emoji187] [emoji187][emoji187][emoji187]nawaza tu.....
Kwa hiyo kati ya kubeba hivyo vitu ulivyotaja hapo juu na kutembea na kinyesi kwenye chura kipi bora dada angu?
 
Ya leo kali iiiihh!!

Nakumbuka tu kiitikio cha nyimbo ya wachuja nafaka na juma nature.
"Kutwa nzima ya leo nimeshindia pipi,kuomba naogopa kuiba naogopa,kunguru kanyea ugali masela wananjaa kali"[emoji23] [emoji23] asante mkuu kwa kukumba single hiyo ya wachuja nafaka na pale mwishoni anasema"mbwembwe za bure sista du kiuno gogo"..jiongezee hapo mkuu
 
Ebwana kweli kuna mmoja nimetoka kumnyonya muda huu daaaaah nimekula sana mbolea [emoji83] [emoji83] [emoji48] [emoji48] [emoji276] [emoji276]
ahahaaaaaa hahaaaa SUBIRI SAFURA MKUU MAANA SIO KWA CHUMVI HIZO ULIZOKULA
 
"Kutwa nzima ya leo nimeshindia pipi,kuomba naogopa kuiba naogopa,kunguru kanyea ugali masela wananjaa kali"[emoji23] [emoji23] asante mkuu kwa kukumba single hiyo ya wachuja nafaka na pale mwishoni anasema"mbwembwe za bure sista du kiuno gogo"..jiongezee hapo mkuu
Rap katuni ilikuwa inanipa raha saana..
 
Mabraza men wanatembea na nini? Maana huko maofisini wafanyao kazi si masista duu! mazingira ni yaleyale, Tofauti ni milango
 
Back
Top Bottom