joyce shija
JF-Expert Member
- Jul 20, 2017
- 471
- 189
basi nenda sinza makabulini ukazimwageMvua za dar huzioni kwani!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
basi nenda sinza makabulini ukazimwageMvua za dar huzioni kwani!
Mkuu unakautamaduni kakunyonya sehemu ya mbolea??Ebwana kweli kuna mmoja nimetoka kumnyonya muda huu daaaaah nimekula sana mbolea [emoji83] [emoji83] [emoji48] [emoji48] [emoji276] [emoji276]
Kwa hiyo kati ya kubeba hivyo vitu ulivyotaja hapo juu na kutembea na kinyesi kwenye chura kipi bora dada angu?Ungependa waanze kubeba na vikombe vya kunawia? Kinachofuata sabuni na kitaulo. ...[emoji187] [emoji187][emoji187][emoji187]nawaza tu.....
Hatari sana. Anyway, tuwahimize tu kwamba hiyo hua inapelekea ukunguukichanganya na joto la dar balaa
"Kutwa nzima ya leo nimeshindia pipi,kuomba naogopa kuiba naogopa,kunguru kanyea ugali masela wananjaa kali"[emoji23] [emoji23] asante mkuu kwa kukumba single hiyo ya wachuja nafaka na pale mwishoni anasema"mbwembwe za bure sista du kiuno gogo"..jiongezee hapo mkuuYa leo kali iiiihh!!
Nakumbuka tu kiitikio cha nyimbo ya wachuja nafaka na juma nature.
Ya!Mkuu asante lakini tuna jukumu kama jamii kutengeneza mazingira
ahahaaaaaa hahaaaa SUBIRI SAFURA MKUU MAANA SIO KWA CHUMVI HIZO ULIZOKULAEbwana kweli kuna mmoja nimetoka kumnyonya muda huu daaaaah nimekula sana mbolea [emoji83] [emoji83] [emoji48] [emoji48] [emoji276] [emoji276]
hahaaaaNi Air Freshner mkuu
Rap katuni ilikuwa inanipa raha saana.."Kutwa nzima ya leo nimeshindia pipi,kuomba naogopa kuiba naogopa,kunguru kanyea ugali masela wananjaa kali"[emoji23] [emoji23] asante mkuu kwa kukumba single hiyo ya wachuja nafaka na pale mwishoni anasema"mbwembwe za bure sista du kiuno gogo"..jiongezee hapo mkuu
hahaaaa duuuhNa maspray hayo utackiaje harufu? Ndo maana thread za matatizo ya sehemu za siri hayawaishi
hahaaaaa aiseeeebasi umeshinda bibie acha sisi tuvianike sisimizi watuchungulie
utapofuka macho shauri yao.hahaaaaa aiseeee
kweli umevurugwa
kwa Mara ya kwanza nimejikuta natamani kuwa sisimizi
nzi kufia kwakidonda mkuu .utapofuka macho shauri yao.
zinginezinatisha maana zina mikia kama pwezanzi kufia kwakidonda mkuu .
haiwezi kuwa haramu