Masister duu na wanawake wa maofisini mnatembea na vinyesi

Masister duu na wanawake wa maofisini mnatembea na vinyesi

Kiukweli maji ya public toilet sichambi nayo kuna siku nilikuta kohozi Kwenye maji bora Hizo wipes jamani. Au km ni haja Kubwa ninunue maji ya chupa. Lakini haja ndogo utanisamehe mtoa Mada.
haja kubwa si unaiacha nyumbani asubuhi au?sasa kwenda kunyakunya ofisini au majengoni haja inatoka wapi au ndo wale wale kila akikata kona ni kutafuna tafuna kama nguruwe
 
Huu uzi hakuna mwanamke aliye like. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umewagusa penyewe.
 
Yaani siku izi wadada wengi haswa warembo na wa maofisini wanamchezo wa kutembea na tishu na vijitambaa flani mfano wa tishu vinakuwa na unyevu unyevu hivi sasa kumbe hizi tissue na vijitambaa ndo wakienda msalani kukata magogo au haja ndogo wanajipangusa wanaondoka eti kisa hawataki mimaji maji mimaji yaani huu ni uchafu wa kiwango cha kimataifa ivi kwa nn mwanamke utumie tissue? Ndo maana nyuzi za maradhi yenu sehemu za siri haziishi mnatembea na uchafu haswa madada wa maofisini, wadada wa chuo na ma sister duu tishu mnajipaka vinyesi
Kunuka k
 
We we we weee. Mmh. Tusivae tena. [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15].

Kisa joto tu. Hahahaaaaaa.
ata mimi mwanzo nilifikili kama wewe,alakini baadaye nikaamua kutovaa chupi yaani laha kweli mpaka loho inapoa sio uchi peke yake
 
Mie siko Dar my dear hivyo hayo hata siyawezi shoga. Nilipo kuna baridi hatari.

Hayo tunawaachia nyie watu wa Dar. Hahahaaaa.
basi umeshinda bibie acha sisi tuvianike sisimizi watuchungulie
 
Nilidhani wahabeshi tu ndo wanaogopa maji mana most of them hawatumii kabisa MAJI hata kuoga mtihani na wakishajisafisha zile tishu wanaweka kwenye dust bin inakuwa pembeni maana choo kitaziba ukiweka tishu, sasa kumbe hata wabongo wa kisister duu wanaogopa kutumia maji? Basi ni hatari na kama wafanya hivyo si vizuri. MAJI ya watu yamejaa kibao kisa cha tishu nini? Mtabeba magonjwa na matumbo chini ya kitovu hayataacha kuwauma kila kukicha. Use H20.
 
Back
Top Bottom