Masister duu na wanawake wa maofisini mnatembea na vinyesi

Masister duu na wanawake wa maofisini mnatembea na vinyesi

Mbona kama JF imeharibika? What a bulshit is this 'great thinkers?'
 
Unadhani sisi tuna kazi my dear. Wale wanaokerwa na mambo yasiyo yao ndio wana kazi. Hahahaaa.

Sababu nina uhakika kwa asilimia 80 hajui hata wanawake wanatumia tishu wakati gani.

Hebu atupishe sie. Ila namshauri aende huko akarudie kuchungulia wanawake wanatumiaje tishu sababu hapo hajaona kitu. Hahahaaaa.
Mimi ndo sijui kabisa Kwanza ni fedhea mwanaume kumfuatilia mwanamke.. wanaume kazi yetu ni kuwatatulia matatizo wanawake wanapolalamika ndo maana tunasoma biologo8
 
mimi baada ya kusoma thread yako, naona kama vile ni wifu na chuki binafsi dhidi ya wanadada wanofanya kazi maofisini, wanachuo na masister duu!! hivi hizo tishu wanazitumia kwanza then ndio wanaweka kwenye vipochi vyao au wanabeba tishu safi wakishatumia wanaziacha huko chooni..Mimi nilishafanya kazi bank nawajua wadada wa maofisini ni wasafi sana, wakishazitumia wanazitupa huko chooni na sio wanarudishia kwenye vipochi vyao kama unavyotaka kutuaminisha.Acha wifu
 
Kumbe wanafanya hivyo maofisini na vyuoni na siyo nyumbani. Sasa shida iko wapi? Unataka tutembee na ma jiaba ya maji mgongoni?
Nikutoe tuu tongotongo, siyo kila anayeenda chooni kashika tishu basi huko hatumii maji,
Wengine unaanza kujifuta na tishu kisha maji yanafuatia hatushiki vinyesi.
 
Ha ha ha haaaa, wadau wamemjibu vizuri kweli.
Wewe ishi maisha yako, zile wipes sio za chooni tu hata mikononi na usoni pia, halafu unaonekana huna kazi ya kufanya.
Yaani umekaa mpaka unachunguza muda watu wanaenda kukata magogo?
Eboooo. Kasome kule.
Punguza jazba ili ujibu hoja vizuri
 
Mimi ndo sijui kabisa Kwanza ni fedhea mwanaume kumfuatilia mwanamke.. wanaume kazi yetu ni kuwatatulia matatizo wanawake wanapolalamika ndo maana tunasoma biologo8
Kweli kabisa mkuu usemalo.

Ila watakaokuelewa hapa lazima wawe wachache. Hahahaaa.
 
Tissue na wipes zina mahala pake. Choo cha stand, bar, vya kulipia, maeneo yenye watu wengi etc. Matumizi ya maji, kopo na ndoo yenyewe sio salama. Hapo ndio wengi huokota magonjwa.
Mtu upo nyumbani kwako utumie tissue au wipes za nini
 
Wengi hutumia kukaushia maji baada ya kuchamba.. Madada wa siku hizi wameelimishwa.. Wanaotembea na vinyesi ni vitoto vya miaka ya kuvunja ungo
 
Ila wadada ni wasaf jaman,unakuta mdada tako hiloo na anaenda kata gogo sasa sjui wana technique gan ya kujiswafi,daa ts a woman mistery..na anatoka msaf kabsaa,hail to the queens.
 
Mimi naona so long as wanazitumia hizo wipes na tissues mbele kwenda nyuma haina shida.
 
Back
Top Bottom