Watoto msipende kuwasikiliza sana mama zenu hamuwezi jua nini kiliwatenganisha.....ni bora tu mondi ajitoe ufahamu amsaidie alafu huyu mzee malipo yake yawe kwa mungu.mwenyewe kwani yeye ndiye anayejua
Mwangalieni kanumba Naye alikuwa na kisasi kama mondi tu
LAKINI hata yeye alikufa na akamwacha baba yake na kinyongo chake moyoni...jiulizeniiii
Huna uelewa wa kutosha kujua ni kipi cha kukichukia, ipo siku utapata uelewa huo kwa kuijua kanuniusiangalie matokeo angalia na sababu ya matokeo pia...hawa wazee waliokula ujana enzi zao na kuwaacha watoto wao wakiteseka na mama zao huwaga siwaonei huruma kabisa.
Mimi pia yamenikuta kama hayo..naumwa nimelazwa Amana hospital na bi.mkubwa alikila pembeni uangu hana kitu baba yangu mzazi anashindana kuwatunza hela wakina Tx Moshi na Maalim Gurumo pale Amana Vijana center
Diamond hii laana haita kupita mpaka umuombe msamaha huyu mzee!
Diamond anakosea sana. Yaani anahangaika na Zari halafu anamuacha babake anateseka
Kiki..!Kwa yeyote mdadisi, ni rahisi kugundua kwamba huyo baba wa diamond aliandaliwa kwamba achukuliwe picha huku akionekana kusaidiwa na wahudumu wa hapo hospital, ili kijana apakaziwe na magazeti ya udaku.
Alafu... iweje mzee aende kwenye matibabu huku akiwa amejiandaa na wapiga picha?
Alafu.... kama mzee alikwenda kupata matibabu, kwanini aliwaita makanjanja wa magazeti ya udaku ili wakipake kwa mwanae?
Agghhhh....[emoji51] [emoji51] [emoji51]
Ebu tueleweshane polepole binti....Wewe nae ndo wale wale. Kusoma hujui hata picha huoni? Kama mond haja wahi sema ana tatizo na baba, bali tatizo ni mama mbona hamsaidii baba yake? Si angeacha ugomvi wa wazazi bila yeye kuonyesha wazi anambagua baba yake kwa ajili ya maneno aliyoaambiwa na mama yake? Mwambieni ukweli, kumtetea ndo kumpa kichwa. Yeye sio wa kwanza kutelekezwa. Hata wewe nahisi humjui dingi ndo mana naona unatetea sana.
Tatizo lenu waswahili huwa hamsomi habari kamili..mnakurupuka kuchangiaKwa yeyote mdadisi, ni rahisi kugundua kwamba huyo baba wa diamond aliandaliwa kwamba achukuliwe picha huku akionekana kusaidiwa na wahudumu wa hapo hospital, ili kijana apakaziwe na magazeti ya udaku.
Alafu... iweje mzee aende kwenye matibabu huku akiwa amejiandaa na wapiga picha?
Alafu.... kama mzee alikwenda kupata matibabu, kwanini aliwaita makanjanja wa magazeti ya udaku ili wakipake kwa mwanae?
Agghhhh....[emoji51] [emoji51] [emoji51]
We huna wazaziKwahiyo aliita waandishi wa habari wakati anaenda zahanati....? Muache avune alichopanda, diamond hasingekua star leo hii huyo mzee angemkubali ?
Muache asote tu
kama diamand ni mwanae wacha atafute kiki.....Hivi huyo anaumwa kweli au anatafuta kiki tu?
Hii haijakawa sawa, huyu Dr pia kamtumia huyu baba kama PR kutokana na udhaifu wake kipesa wamemtumia hata kama anaumwa ilikuwa sio sawa walichofanya maana hata picha wako kama wana pose hili ni tatizo moja. kurudi kwa Diamond anachotakiwa ni kumpa heshima kama baba na kumpa anachoweza bila kujali history maana yaliyotekea ya baba yake na mama yake sio shughuli yake huwezi kujuwa yule mama alimuumiza mzazi mwenzie lakini kama una uhakika ni baba yako basi dini zote zinatuambia tuwaangalie wazee na hakuna sehemu Mungu kasema akiwa alifanya hivi mtupe hapana kuwaangalia wazee sio lazima uwe na pesa ni heshima na kumjali hakuna mzazi atataka pesa halafu usimpe heshima kama mzazi. Mimi simjui Diamond lakini kwa ushauri tu arudi katika mafundisho ya dini na pia yeye sio mtu wa kwanza wako waliokimbiwa na wazee wao na hata mama zao lakini wanawatafuta wawajue ni vizuri akampa heshima kama baba na hapa sisemi pesa heshima kama mzazi tu.Kwa yeyote mdadisi, ni rahisi kugundua kwamba huyo baba wa diamond aliandaliwa kwamba achukuliwe picha huku akionekana kusaidiwa na wahudumu wa hapo hospital, ili kijana apakaziwe na magazeti ya udaku.
Alafu... iweje mzee aende kwenye matibabu huku akiwa amejiandaa na wapiga picha?
Alafu.... kama mzee alikwenda kupata matibabu, kwanini aliwaita makanjanja wa magazeti ya udaku ili wakipake kwa mwanae?
Agghhhh....[emoji51] [emoji51] [emoji51]
Siyo kwa mzazikama huyo baba alivyokuwa anahangaika na mengine, na kumuacha mama Mondi anateseka na Mondi, what goes around comes around
Hujawahi kutelekezwa wewe,mambo ya familia tuyaache,huyu mzee anaonekana kama anatumiwa na maadui wa NasibOmba Mungu awaweke mshuhudie kifo cha diamond siku moja..!
Ni mjinga sana! Angesamehe yaishe ila nadhani anajua kuwa anazo dhambi nyingi kuliko hii ya kuto msamehe baba yake ndiyo maana haoni umhimu.
Bila shahawa za huyu mzee uplatnum angeupata wapi? Anajifanya hajui mchango wa huyu mzee kwenye maisha yake! Shahawa zenyewe ni mchango kulijo kitu chochote kile klilicho changia uwepo wa diamond na jinsi alivyo..!
Hakuna laana hapo,na ww jitahidi kuwa karibu na watoto wako,la sivyo haya yatatuhusiDiamond hii laana haita kupita mpaka umuombe msamaha huyu mzee!