Maskini hana aibu, kimbia ukiona hivi

Maskini hana aibu, kimbia ukiona hivi

Ni suala la demand and Supply siyo hisia au nyege.

Wakati mwanamke ana nyege akiomba atatuliwe shida zake demand ipoje na wakati wewe una minyege ukataka utatuliwe shida zako demand ipoje?

Kama unajua kujumlisha na kutoa nadhani jibu unalo boss.
Nimekuelewa vyema Mkuu! Lakini wanawake wana urahisi zaidi linapokuja suala la kuondolea upwiru maana ni asili ya wanaume kutokuomba pesa ili aondokane na upwiru! Hapo mwanamke anatolewa upwiru na pesa atapewa 😃
Hii dunia imekuwa ya kijinga sana
 
Mm nina binti zangu nyumbani hapa. Natamani sana wapate watu sahihi wafunge ndoa nibebe wajukuu ila ikitokea wakaamua kutoa utelezi kwa mzabzab bila ndoa sawa tu lakini huyo mzabzab ndo agharamie huo utelezi sio mimi baba yao. Au akiamua kujigharamia ili ato$$$%we bure basi asubiri akishahama kwangu akapata kazi yake atoe bure atakavyo.
Wanawake wote amabao wanatoa utelezi pasipo kuolewa unue wazazi wao ndio wajinga.
Kama wewe utalea watoto wako vizurintrust me watakiheshimu na wataondoka hapo kwako wakiwa wanaenda kwa waume zao.
 
Kuna mademu hawana aibu..ni nusu mtu nusu shetani. Kuna mmoja kaniomba nimuongezee million sita akanunue gari,nikamuuliza ana kiasi gani bank akabaki anajiumauma midomo😀😀.
Sijui alinichukuliaje yule boya?
Kha! Hawana aibu hawa. Ila nilishajua ukiona hivyo ujue huyo mwanamke ana option nyingine alikuwa anajaribu kpata extra kutoka kwako pia.
 
Wanawake wote amabao wanatoa utelezi pasipo kuolewa unue wazazi wao ndio wajinga.
Kama wewe utalea watoto wako vizurintrust me watakiheshimu na wataondoka hapo kwako wakiwa wanaenda kwa waume zao.
Upo sawa ila mkuu mzazi unafanya sehemu yako na binti anafanya sehemu yake, kuna umri akifika mzazi huna tena control, ni IQ ya binti ndo inafanya kazi. Mfano, yupo chuo, ana nyege zake mwili unawaka moto, kakutana na mzabzab, unadhani hapo mzazi unaweza fanya lolote? Hapo ni IQ ya mtoto ndo itajumlisha na kutoa mzazi ulishamaliza sehemu yako.
 
Upo sawa ila mkuu mzazi unafanya sehemu yako na binti anafanya sehemu yake, kuna umri akifika mzazi huna tena control, ni IQ ya binti ndo inafanya kazi. Mfano, yupo chuo, ana nyege zake mwili unawaka moto, kakutana na mzabzab, unadhani hapo mzazi unaweza fanya lolote? Hapo ni IQ ya mtoto ndo itajumlisha na kutoa mzazi ulishamaliza sehemu yako.
Usipeleke lawama kwa mtoto bwana.
Wee kama umeshindwa kulea sema ila usije sema shida ni mtoto.
Mbona huko afghanistan inawezekana. Mabinti wanaolewa wakiwa kitu sealed kwa nini wewe ushindwe?
 
Muwaonee huruma watoto wa wanawake wenzenu jamani! Ndani ya siku saba tayari Mjomba amefariki, unataka rambirambi, simu imepasuka kioo, system charge imekufa, kodi imeisha! Duuh mpaka Mzee baba Devil anatuonea huruma 😔
Demu hana kazi anamikiki iphone 🤣🤣🤣😭
Wacha wafiraji wajienjoy
 
Usipeleke lawama kwa mtoto bwana.
Wee kama umeshindwa kulea sema ila usije sema shida ni mtoto.
Mbona huko afghanistan inawezekana. Mabinti wanaolewa wakiwa kitu sealed kwa nini wewe ushindwe?
Hapana, silaumu mtoto, binti zangu bado hawajaniangusha ila naelewa kuna umri mzazi huna control tena na unapaswa kuacha IQ ya binti ndo ifanye kazi, ukiingilia unaharibu. Japo usiache kushauri.

Kuhusu iraq nadhani Kule wanaolewa @ 16/18 years. Jambo ambalo huku kwetu hatuna huo utaratibu na mm binafsi siusapoti maana wanaolewa si kwa uchaguzi bali kwa mfumo dume.

Sisi tuna utaratibu mzuri kuwa binti afike umri wa kujitambua. Tatizo la huu mfumo ni kwa mabinti na vijana wenye IQ za chini unazalisha umalaya sana.
 
Aisee yan hawa wanawake sio,nowdays wanachoangalia wao ni pesa tu kwenye mahusiano..yeye binafsi hana anachokupa zaid ya tako na K ila yey atataka umnunulie simu,ulipe kodi sijui saloon yan usenge mtupu..hapo bado mkitoka out show nzima usimamie wew kuanzia chakula mpaka vinywaji,na vinywaji vyao ni Savannah,windhoek,disperado,heineken mara Four cousin wkat msela hapo unashushia konyagi ndogo...bado ukienda nae geto kumkaza umpe hela ya nauli...dah huu ni usenge jazband
Only fools ndo watakubali huo upuuzi
 
Hiyo ni style tu ya kukataliwa.
Hapo unaachia ngazi mwenyewe tena bila kelele😃😃
Huwa mnaamini mwanamke hana viatu nauli hadi umpe??
Mwanamke akikupenda na akikuhitaji hizo kelele zote hakuna
Mbona wakipewa hivyo vitu wanapokea na mzigo wanatoa
 
Back
Top Bottom