Mwamba naona unatumia nyundo kuua sisimiziMbona wakipewa hivyo vitu wanapokea na mzigo wanatoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwamba naona unatumia nyundo kuua sisimiziMbona wakipewa hivyo vitu wanapokea na mzigo wanatoa
Kuna tofauti kubwa sana kati ya masikini anayejitegemea na masikini tegemeziWewe na huyo dada wote ni maskini. Trust ne bro
Sasa tunapandishaje iq za hawa mabinti?Hapana, silaumu mtoto, binti zangu bado hawajaniangusha ila naelewa kuna umri mzazi huna control tena na unapaswa kuacha IQ ya binti ndo ifanye kazi, ukiingilia unaharibu. Japo usiache kushauri.
Kuhusu iraq nadhani Kule wanaolewa @ 16/18 years. Jambo ambalo huku kwetu hatuna huo utaratibu na mm binafsi siusapoti maana wanaolewa si kwa uchaguzi bali kwa mfumo dume.
Sisi tuna utaratibu mzuri kuwa binti afike umri wa kujitambua. Tatizo la huu mfumo ni kwa mabinti na vijana wenye IQ za chini unazalisha umalaya sana.
Kabla ya kukutana na huyo jamaa inamaana ulikuwa hausukiSasa unanitoa out nywele zangu zipo hovyo nisikwambie? Nikaaibike huko nani kasema?
So inamaana huyo manzi Ni mchafu Ila anataka kuwa msafi pale tu anapokutana na mwanaume?Angekuja mchafu mchafu pia ungelalamika. Kama vipi achana na broke girls tafuta ambao wameshajipata tayari halafu uje hapa kuleta mrejesho
Njaa plus hakupendi Kama mtu umwelewi kwanini unakubali kupokea pesa zake?Kwahiyo ni njaa au hakupendi??
Swali zuri sanaYaani uliyeamua kukaa hovyo no Wewe Mimi nifanye nini sasa , njoo vyovyote vile Sawa Tu , kwani wote waliokutoa out maishani mwako uliwaomba hela ukasuke?
Kombola uliorusha Ni la hatari kweli kweliKuna tofauti kubwa sana kati ya masikini anayejitegemea na masikini tegemezi
Ungemalizana na sabuni shida zote za nini kumbe sabuni zipo?Usiseme mtu sema utelezi. Utelezi hata kwenye sabuni upo. Acheni kujiuza
Kuna vitu tunashindwa kujua kuwa ni personal responsibility, hata ukiingia kwenye ndoa bado kuna majukumu ambayo ni personal.So inamaana huyo manzi Ni mchafu Ila anataka kuwa msafi pale tu anapokutana na mwanaume?
Sasa tunapandishaje iq za hawa mabinti?
Alooo hatari kweli kweliIQ zinapandishwa wakati control ipo kwako mzazi. kile ulichomjaza wakati una control ndo hufanya kazi wakati huna control.
Na usimfungie binti yako kwenye box, mpe binti yako ulimwengu aujue huku ukimfundisha kuudhibiti.
Mfano, unakuta mtu anamnyima mtoto smartphone mpaka anafika chuo ni marufuku kuwa na smartphone, binti anapewa smartphone na mzabzab, mzazi hajui kuwa binti yako ana macho matatu unamwambia ukimaliza chuo ntakununulia Tecno nzuri. Unadhani nini kitatokea hapo zaidi ya kutinduliwa mpaka nya igeuke ndani nje?
Acha kabisa mkuu.Alooo hatari kweli kweli
Poleni wenye watoto wa kike maana sie tuliobarikiwa vijisenti tunawafumua marinda tuuAcha kabisa mkuu.
Pole itolewe kwa jamii yote maana hata wa kiume nao wapo hatarini.Poleni wenye watoto wa kike maana sie tuliobarikiwa vijisenti tunawafumua marinda tuu
Ah wapi hawezi tinduliwa lindaPole itolewe kwa jamii yote maana hata wa kiume nao wapo hatarini.
Uzuri wakati tunawafumua marinda kwa kutumia vijisenti vyetu tunajiharibia wenyewe maana wajukuu zetu watalelewa na wafirwaji.
Au unadhani mwanao mkewe hatotinduliwa marinda?