Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Huna soko umekuja kulitafuta huku MMU?ππ kumbe wewe ni maskini na ujinga unao??
et single mother π
So kwako unaona tusi mwenyewe
Mimi ningelikua singlemom ningelikua very proud kama mama yako tu
Kijana acha makasiriko tafuta pesa
πWewe mgeni mjini kumbe....Huna soko umekuja kulitafuta huku MMU?
pole aisee ndio dunia lakini.
Nipe hongera, pole ya nini!Pole mkuu
Kama hakuna free papuchi basi msikasirike mkiitwa malayaUmaskini unakusumbua wewe!!
Hela za kutoa huna usingepiga tarambee humu
Ukipenda kubadili mboga uwe na pesaπ€£π€£
Hakuna free papuchi
Wawape burebure tu?? π
Huwa unamuitaga nani mkuu anakukasirikia?Kama hakuna free papuchi basi msikasirike mkiitwa malaya
Kwani anaye anza kumwitaji mwenzie nani? Yaani mtu anakwambia njoo Kisha nijigharamikie? Kwanini usikae na nanihi zako Kama unaona gharama? Wanaume watakucheka siku nyingine usiongee hivyo! Waoongea hivyo ni watoto wakiumeWewe kwenye mahusiano una mpa nn mwanaume zaidi ya sex ambayo wote mnaitaka..? Mkiitwa malaya mnasema hatuwaheshimu.
Mama yako ndiyo malaya kakuzaa wewe ujueAcha umalaya
Wee jamaa wenzio walitaka 3some wee hukuwaelewa tuu
Kwenye nyuzi za utelezi Huwa hukosekani sijui hizi nyuzi umezi-setia alarmWee jamaa wenzio walitaka 3some wee hukuwaelewa tuu
Huyo atakuja kustuka ana miaka 35Umemaliza mkuu, mi ndo formula yangu, mwanamke akianza habari za nauli story zinaishia hapo!
Kuna mmoja aliomba mpaka hela ya kushona nguo ili tutoke, na siku yenyewe ya kutoka eti anakuja na rafiki yake!
Sisi mabaharia akija na rafiki yake tunaweka ukaribu na rafiki yake hatutaki ujinga kabisaUmemaliza mkuu, mi ndo formula yangu, mwanamke akianza habari za nauli story zinaishia hapo!
Kuna mmoja aliomba mpaka hela ya kushona nguo ili tutoke, na siku yenyewe ya kutoka eti anakuja na rafiki yake!
Hamna cha alarm watu wa humu utaona tuuu wananitagKwenye nyuzi za utelezi Huwa hukosekani sijui hizi nyuzi umezi-setia alarm
Hizi ni kauli za KidangajiAkili finyu wewe mbona ndo wa kwanza kumuomba mtoko? Yeye akiomba maskini wewe ukiomba una akili we ndo maskini, mwanamke kama mwanaume hawezi kukuhudimia mkimbie,, hayo mambo kama huyawezi waachie wenyewe katafte pesa, umtie shombo sabuni manukato anunue mwenyewe, tafuta watoto wenzako mkacheze
Mata 100 wanaojiuza rodi mguu juu pembeni mwa barabara 15000/ kazi imeishaaaYaan mm kumwambia Leo tuonane ndo aanze kaniletea shda zote kuanzia viatu,nguo ,Kodi ya nyuma,luku imeisha Cha kufia nn??
Bush doctor leo umeongea ukweli ambao ss wanaume au watu wote tunajifunika masikio na macho tusione haya ndio majibuNdio Braza utu uzima dawa. Nimejifunza by experience.
Kwenye haya maisha hakuna kijana ambaye Mungu hamjalii neema ya kipato. Hata kama ni kijijini huko ndani ndani.
Ktk ujana kila mtu anapata fursa ispokuwa zinatumika kwa mambo matatu au zaidi hasa
1. Ulevi
2. Anasa za zinaa/wanawake
3. Uvivu.
Asikwambie mtu akakudanganya kwamba enzi zao hali ilikuwa mbaya sio kweli
Ndio braza. Hata kama ni ka fursa kadogo lakini si ulikapata? Kalikufikisha wapi? Ulikatumia kwa faida? Watu umri ukishaenda ndio wanakumbuka.Bush doctor leo umeongea ukweli ambao ss wanaume au watu wote tunajifunika masikio na macho tusione haya ndio majibu
Dah nawale anafika utasikia nahisi njaa mara hatuli mara kuku akiwa mwingi hakuna foil hapa du jamanMie umri ulionao sio wakutumiwa elf 10, hizo nizawasichana wadogo, sasa kama ninauwezo wakujinunulia mahitaji hiyo buku 10 wapelekee huko