Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 4,158
- 7,787
- Thread starter
- #21
Sahihi kabisa mkuu, maisha yanakwenda kasi sana na akili zinahitaji utulivu na mipango mizuri.Waache wawe busy na siasa kuja kushtuka miaka 47 hii hapa hakuna alochofanya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sahihi kabisa mkuu, maisha yanakwenda kasi sana na akili zinahitaji utulivu na mipango mizuri.Waache wawe busy na siasa kuja kushtuka miaka 47 hii hapa hakuna alochofanya
Mkuu naomba nikuulize, tofauti na TL ni kiongozi gani mwingine wa upinzani unadhani anafaa na kuwa na muelekeo kama alionao TL?
Vyema kabisa, sasa hao ndyo wanapigwa vita na madhalimu, na endapo wakishindwa wananchi na wafuasi wao watabaki njia panda.Viongozi wapo wengi Ila ni swala la kupata jukwaa .
Mfano 'JOHN HECHE '
Madhalimu ni akina nani?Vyema kabisa, sasa hao ndyo wanapigwa vita na madhalimu, na endapo wakishindwa wananchi na wafuasi wao watabaki njia panda.
Madhalimu ni wale wote wasiopenda Haki na wanajali matumbo yao wala sio maslahi ya Taifa.Madhalimu ni akina nani?
Wanasema hivi
...👇🏾
"Don't hate leaders and love your country because bad leaders pass but country remains"
Tupo pamoja mkuu..Safi mkuu , nipo mtumishi Majukumu yanabana Ila nipo mkuu.
Ndiyo maana wote walio mpinga JPM ni wapumbavu ....tulimuunga mkono jpm kwa sababu alikuwa rais mwenye kudhamini taifa na kuwatumikia wananchi ....mbowe yupo kujitumikia yeye na familia yake Samia yupo kujitumikia yeye na msukule wake abdul ...na kikwete ni hivyo hivyo matokeo yake ndiyo haya ya JAMBAZI ROSTAM AZIZI NA GENGE LAKE KUFANIKIWA KULIGEUZA TAIFA LETU KOLONI LAO NA SISI KUWA WATUMWA WAOHuwenda nimechelewa kufahamu hili kwasababu ya umri wangu na uzoefu wangu, nimegundua Tanzania hakuna upinzani wa kweli.
Vijana wanapoteza maisha yao, wanaumizwa hata kupotezwa, yote ni kwasababu ya kupigania haki sambamba na kuwa upande wa upinzani, ajabu viongozi wao wanafanya mambo kwa maslahi yao binafsi.
Nimeshtuka japo nimechelewa, labda siku atokee kiongozi mwengine mfano wa TAL, lakini kwa sasa nawasihi vijana wenzangu kupambania ndoto zao, wasidanganyike na mienendo ya kisiasa hasa hasa upinzani.
Upinzani ambao umedhihirika kwamba hauna lengo la kweli bali kutetea matumbo yao na familia zao.
Mkuu leo ndyo tumethibitisha yote, Mbowe na genge lake wanafahamika na leo waliungana wote kuthibitisha kwamba wao ni matapeli wa kisiasa.Ndiyo maana wote walio mpinga JPM ni wapumbavu ....tulimuunga mkono jpm kwa sababu alikuwa rais mwenye kudhamini taifa na kuwatumikia wananchi ....mbowe yupo kujitumikia yeye na familia yake Samia yupo kujitumikia yeye na msukule wake abdul ...na kikwete ni hivyo hivyo matokeo yake ndiyo haya ya JAMBAZI ROSTAM AZIZI NA GENGE LAKE KUFANIKIWA KULIGEUZA TAIFA LETU KOLONI LAO NA SISI KUWA WATUMWA WAO
Sahihi kabisaHuwenda nimechelewa kufahamu hili kwasababu ya umri wangu na uzoefu wangu, nimegundua Tanzania hakuna upinzani wa kweli.
Vijana wanapoteza maisha yao, wanaumizwa hata kupotezwa, yote ni kwasababu ya kupigania haki sambamba na kuwa upande wa upinzani, ajabu viongozi wao wanafanya mambo kwa maslahi yao binafsi.
Nimeshtuka japo nimechelewa, labda siku atokee kiongozi mwengine mfano wa TAL, lakini kwa sasa nawasihi vijana wenzangu kupambania ndoto zao, wasidanganyike na mienendo ya kisiasa hasa hasa upinzani.
Upinzani ambao umedhihirika kwamba hauna lengo la kweli bali kutetea matumbo yao na familia zao.