Maslahi binafsi yanayohujumu harakati na maisha ya vijana

Viongozi wapo wengi Ila ni swala la kupata jukwaa .

Mfano 'JOHN HECHE '
Vyema kabisa, sasa hao ndyo wanapigwa vita na madhalimu, na endapo wakishindwa wananchi na wafuasi wao watabaki njia panda.
 
Vyema kabisa, sasa hao ndyo wanapigwa vita na madhalimu, na endapo wakishindwa wananchi na wafuasi wao watabaki njia panda.
Madhalimu ni akina nani?


Wanasema hivi
...πŸ‘‡πŸΎ
"Don't hate leaders and love your country because bad leaders pass but country remains"
 
Madhalimu ni akina nani?


Wanasema hivi
...πŸ‘‡πŸΎ
"Don't hate leaders and love your country because bad leaders pass but country remains"
Madhalimu ni wale wote wasiopenda Haki na wanajali matumbo yao wala sio maslahi ya Taifa.

Na mimi nasema hivi πŸ‘‡

I detest dishonest leaders, I cherish my life and my nation, and I strive to fulfill my own aspirations.
 
Ndiyo maana wote walio mpinga JPM ni wapumbavu ....tulimuunga mkono jpm kwa sababu alikuwa rais mwenye kudhamini taifa na kuwatumikia wananchi ....mbowe yupo kujitumikia yeye na familia yake Samia yupo kujitumikia yeye na msukule wake abdul ...na kikwete ni hivyo hivyo matokeo yake ndiyo haya ya JAMBAZI ROSTAM AZIZI NA GENGE LAKE KUFANIKIWA KULIGEUZA TAIFA LETU KOLONI LAO NA SISI KUWA WATUMWA WAO
 
Mkuu leo ndyo tumethibitisha yote, Mbowe na genge lake wanafahamika na leo waliungana wote kuthibitisha kwamba wao ni matapeli wa kisiasa.
 
Sahihi kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…