Maslahi madogo Clouds yamtoa Ruby Fiesta

Umeongea ukweli mkuu, wote hao sio wajinga wanajua kula na kipofu na tayari washatengeneza Uzi wa mashabiki ili siku wakisimama wenyewe wasitetereke sasa huyu ruby baada ya kutoa vinyimbo viwili kashajiona untouchable hahaaaa[emoji23] [emoji23] yetu macho
 
Hii habari kama ni kweli,basi kuna mambo 2 nayaona.Iwapo Ruby anajua nini alichokifanya na kashajiandaa nacho kimkakati pamoja na kisaikolojia basi atafanikiwa dhamira yake,lakini kama anafanya kwa kujifananisha na sijui Jide hapo kafeli tena kafeli ile ya kuchorwa na masikio kabisa.Ruby bado hajawa na ubavu wa kutunishiana na Clouds si kwa maana ni poa wanavyofanya Clouds ila wewe kama msanii mchanga lichukulie jukwaa la Fiesta kwaajili ya kujitangaza.Hawa wote wanaomsifia Ruby hawapo kwenye tasnia muziki wa kibongo wakaona changamoto zake,kwa sasa wasanii ni wengi na wote wanataka kutoka na ili watoke ni lazima kwanza wakubali kuliwa,kuibiwa, kutumika visivyo ili wewe ufikie lengo lako.Ruby kama uli beep tafadhari nenda kawaombe msamaha kabla ya mambo kuwa mabaya muda wa wewe kufanya hivi bado kabisa,labda kama umeamua kuacha muziki sawa ila kama muziki ndio unataka yawe maisha yako basi fanya hima ukaombe msamaha.
 
Bahati hao wote uliowataja mafanikio yao yanaonekana, kwahiyo na huyo Ruby unamlinganisha na kundi hilo
 
Mkuu umemaliza wasipokuelewa wakapimwe akili[emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Nako 2 Nako nawamis sana, hasa pale kwenye mstari wao, alie kupandisha ndio atakae kushusha.. Aha haa Nako 2 Nako.. Wapi baba Ray c! Maisha marefu kwenu maninja wangu.
Clounds ni media kubwa kushusha ni kitu rahis
 
Kwel bhn mwisho wa siku unaagalia unachoenda kufanya na malipo...co ufanye et kisa clouds mara oooh ndo waliokutoa
Wanawake sisi ndo huwa tunaharibiana wenyewe , ngoja muone huyo ruby Kama hajaenda kupiga magoti kwa luge
 
Uongo mtupu ruby ana jeuri au kukataa kitu chochote kinaandaliwa na clouds aidha kinahusu malipo au kisichohusu malipo
 
Pamoja cloudsfm nawakubali sana na FIESTA ni platform moja nzuri ya kumtambulisha msanii kwa mashabiki wake na wapya. Ila clouds itabidi wabadilike hasa kwa wasanii wanao wasimamia, we mtu kama barnaba anauwezo kuliko kiba, mondi na ommy dimpoz na kimziki wote kawatangulia na anahit kibao lkn mziki bado haujabadilisha maisha yake upande wa uchumi. Barnaba haitaji bendi wala dj ni yy na gita lake tu na bado anakufanyia shoo kali, lkn mpogoro huyu wa kigogo luhanga bado anamafanikio ya kawaida.
 
Wanawake sisi ndo huwa tunaharibiana wenyewe , ngoja muone huyo ruby Kama hajaenda kupiga magoti kwa luge
Ruby ni mtoto wa kike anayejitambua ww ni mmoja wa wanawake walio kula kiapo ktk dini ya "Mwanamke akiwezeshwa anaweza"
 
Rubi anatakiwa afahamu duniani hakuna haki haki ipo mbinguni... Achukue hicho kidogo kilichopatikana.
 
Me nahisi hiyo ni kiki tu huenda akawa moja ya surprise fiesta ikienda Dodoma au mayb Mbeya....kama Kiba alivyokua surprise kwa watu wa Mwanza....
NB; Clouds walisema kila mkoa utakua na surprise yake!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…