Maslahi ya Majaji Tanzania yapoje?

Kutoa hukumu ya bilionea wakati wewe mshahara wako ni laki mbili,huwa inahitaji moyo wa kipekee kutenda haki
Ila wazuri wanaopenda kusimamia haki wapo pia,ndiyo maana Mungu anashindwa kupiga gharika,maana anajua atauumiza na wazuri wachache waliopo!!
 
Ni judge au
 
Nimekupata Masta

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…