David Harvey
JF-Expert Member
- Jul 17, 2014
- 2,894
- 6,020
Nani aliyekwambia usisome sheria?Ml 8 kwa kazi gani wanayoifanya?kwa kweli walipa kodi tunaumia sana bila sababu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani aliyekwambia usisome sheria?Ml 8 kwa kazi gani wanayoifanya?kwa kweli walipa kodi tunaumia sana bila sababu
Nani aliyekwambia usisome sheria?
Na unaweza ukasome sheria ukasota mpakq unakufaHatuwezi wote kuwa wanasheria kiongozi
Ila wazuri wanaopenda kusimamia haki wapo pia,ndiyo maana Mungu anashindwa kupiga gharika,maana anajua atauumiza na wazuri wachache waliopo!!Kutoa hukumu ya bilionea wakati wewe mshahara wako ni laki mbili,huwa inahitaji moyo wa kipekee kutenda haki
Ni judge auKila november lazima liende ulaya kula good time, sijui anafanyaje fanyaje kupata hizo hela ila masta hela tutafute kwa nguvu sana watoto wake wote kawatafutia michongo anaetaka kuoa aoe na harus hazinaga michango ila mtakula na kunywa mpagawe , aloo ukienda jion maskani kwake, unakuta linapiga piga tizi za hapa na pale yan lile faza huwa ni li role model langu halinaga stress daaah…
Ndio, sijui wanafanyaje fanyaje ila hela za kuzugia mjini zipoooNi judge au
Nimekupata MastaNikisema kutubu sio kwamba naenda kutubu kama Mungu mkuu, nikikwama nakubali nimekwama huyu mzee anatukwamuaga kwenye mambo mengi ndio maana yake masta, Muwe mnapita hata mtaa mjue lugha za mtaa, kwan we upo mkoa gani masta ? Mbona haiwezekan kutubu ulikosema wewe ukatubu kwa binadamu yeyote …
[emoji23][emoji23][emoji23],Ziko poa tu mkuu.Mkuu ivi simu za vivo perfomance yake ikoje masta ? Sijawah kuziona sokoni hizo simu mkuu ? Ulinunua wapi ? Manake daah
Ahahaha sawa sawa 😂😂😂😂😂
Ndio ivyo masta sababu vijana kwenye michakato kama hiyo wanamizinguo na ni waongo waongo, ila wazee hawafanganyi, si unajua utu uzima dawa ?…tupo pamoja masta
Acha waenjoy....ila kama unaishi kwa dhuluma, rushwa iko siku utalipa tuWanainjoi sana.