maatope
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 1,422
- 957
Hakika hii ni habari mbaya kwa nchi yetu maana yule celebrity class A ambaye ni role model wa watoto wa kike hapa Bongo ameamua kuchukua uraia wa south africa
Ama kwa hakika this is very sad, imagine mdada aliyetuletea sifa kwa kusafirisha panadol za 6 billion shillings kwenye bag to south africa, masikini wabongo wakamshambulia eti ni madawa ya kulevya lakini Mungu mkubwa, mahakama tukufu chini ya majaji wasomi wakamuona hana hatia
Kama mnavyojua kwakipindi cha miezi isiopungua mi nne sasa..Dada yetu Agnes Gerald aka Masogange aliamia nchini Afrika Kusini..Ambako kimsingi alipata bwana wa kuishinaye huko kama domozege ilivyolipoti mwezi uliopita.
Sasa leo hii asubuhi kupitia ukurasa wake wa INSTAGRAM masogange ametupia picha ya pasi ya kusafiria ya Afrika Kusini...na ku-caption alama ya kupiga makofi....hii nikuuonesha kuwa kwasasa sio raia tena wa Tanzania..kwa mujibu wa sheria zetu hapa Tanzania,haziruhusu uraia wa nchi mbili kwa hiyo kama ni kweli basi Masogange sio mtanzania mwenzetu tena...Baadhi ya watu waliocomment kumsifia ameonesha kuwajibu kwa furaha zaidi...
Dah haya mama maisha popote!!!
Ama kwa hakika this is very sad, imagine mdada aliyetuletea sifa kwa kusafirisha panadol za 6 billion shillings kwenye bag to south africa, masikini wabongo wakamshambulia eti ni madawa ya kulevya lakini Mungu mkubwa, mahakama tukufu chini ya majaji wasomi wakamuona hana hatia
Kama mnavyojua kwakipindi cha miezi isiopungua mi nne sasa..Dada yetu Agnes Gerald aka Masogange aliamia nchini Afrika Kusini..Ambako kimsingi alipata bwana wa kuishinaye huko kama domozege ilivyolipoti mwezi uliopita.
Sasa leo hii asubuhi kupitia ukurasa wake wa INSTAGRAM masogange ametupia picha ya pasi ya kusafiria ya Afrika Kusini...na ku-caption alama ya kupiga makofi....hii nikuuonesha kuwa kwasasa sio raia tena wa Tanzania..kwa mujibu wa sheria zetu hapa Tanzania,haziruhusu uraia wa nchi mbili kwa hiyo kama ni kweli basi Masogange sio mtanzania mwenzetu tena...Baadhi ya watu waliocomment kumsifia ameonesha kuwajibu kwa furaha zaidi...
Dah haya mama maisha popote!!!