Elimu inatakiwa isaidie mtoto kupambana na mazingira kwa kutumia raslimali zilizopo
Misomo ya O level Kama kiswahili, Civics na historia yanapotezaa tu muda watoto
Yawekwe masomo ya kilimo na ufugaji kuanzia wa wanyama, ndege, samaki na some la ufundi wa kutengeneza vitu kutokana na rasmali zetu kama kutengeneza viatu vya ngozi, ushonaji pamba tunayo, useremala miti tunayo, ugundi wa kupika vyakula mbalimbali kama chapati mazao tunayo nk utengenezaj viito madini tunayo nk ili mtoto akimaliza form four awe tayari kukabiliana maisha.
hiv wewe" unahakili timamu"Kwel!?Elimu inatakiwa isaidie mtoto kupambana na mazingira kwa kutumia raslimali zilizopo
Misomo ya O level Kama kiswahili, Civics na historia yanapotezaa tu muda watoto
Yawekwe masomo ya kilimo na ufugaji kuanzia wa wanyama, ndege, samaki na some la ufundi wa kutengeneza vitu kutokana na rasmali zetu kama kutengeneza viatu vya ngozi, ushonaji pamba tunayo, useremala miti tunayo, ugundi wa kupika vyakula mbalimbali kama chapati mazao tunayo nk utengenezaj viito madini tunayo nk ili mtoto akimaliza form four awe tayari kukabiliana maisha.
Si ulisema unaniweka kwenye ignored list?tofautisha mawazo mbadala na pumba zako. narudi tena ukiona post zangu pita kushoto. sitaki kusoma upumbavu mimi
usijali,nimeshwakutupia tayari,endelea na pumba tuSi ulisema unaniweka kwenye ignored list?
Ukiona mtu anataka awe anaona anachopenda kukiona pekee juwa ana element za udikteta
Umeongea point mkuu ila nadhani wanasiasa na wasomi lazima wafanye mjadala wa kitaifa kuhusu hili suala....mambo ya kuambiana kwenye kampeni tumeongeza mikopo ya elimu ya juu akati wanazalisha mabaamedi na marioo mjini sio sawaElimu inatakiwa isaidie mtoto kupambana na mazingira kwa kutumia raslimali zilizopo
Misomo ya O level Kama kiswahili, Civics na historia yanapotezaa tu muda watoto
Yawekwe masomo ya kilimo na ufugaji kuanzia wa wanyama, ndege, samaki na some la ufundi wa kutengeneza vitu kutokana na rasmali zetu kama kutengeneza viatu vya ngozi, ushonaji pamba tunayo, useremala miti tunayo, ugundi wa kupika vyakula mbalimbali kama chapati mazao tunayo nk utengenezaj viito madini tunayo nk ili mtoto akimaliza form four awe tayari kukabiliana maisha.
Historia ikiondolewa wanasheria watapatikana wapi.Au hujui somo la sheria chuo kikuu msingi wake mkuu ni somo la historia na lugha.Enzi za mwalimu primary kulikuwa na somo la kilimo kama wameondoa sina uhakika.Elimu inatakiwa isaidie mtoto kupambana na mazingira kwa kutumia raslimali zilizopo
Misomo ya O level Kama kiswahili, Civics na historia yanapotezaa tu muda watoto
Yawekwe masomo ya kilimo na ufugaji kuanzia wa wanyama, ndege, samaki na some la ufundi wa kutengeneza vitu kutokana na rasmali zetu kama kutengeneza viatu vya ngozi, ushonaji pamba tunayo, useremala miti tunayo, ugundi wa kupika vyakula mbalimbali kama chapati mazao tunayo nk utengenezaj viito madini tunayo nk ili mtoto akimaliza form four awe tayari kukabiliana maisha.
Haya endele kuona coments za bavicha wenzio pekeeusijali,nimeshwakutupia tayari,endelea na pumba tu
Kiswahili tayari tunacho.kichwani ni.lugha yetu ya kila siku shule za msingi mtu kasoma kiswahili miaka Saba Tena masomo yote Bado tununampa zigo O level.Somo la kiswahili na uraia yafundishwe mwisho primary .Mtu akitaka kuwa specialist wa hayo masomo akayasome A Level.akitaka.Unashauri somo la Lugha inayotambulisha Taifa na Utamaduni wa Mtanzania iondolewe. Pia somo linalohusu maisha ya kila siku ya jamii yetu civics liondolewe???
Fikiri kwa mara ya pili.
Malugha mengi ya kazi gani? Lugha anayotakiwa kujua mtu ni English, hii ukienda China, Ufaransa, Ujerumani, Canada, Japan, Iran, Suriname au popote pale lazima utawasiliana tu, ndio lugha ya Dunia hiyo na hakuna lugha ya taifa lolote isiyokuwa na direct translation to EnglishWe ni mpumbavu kweli.
Wakitoe Kiswahili halafu iweje? Kuna nchi duniani isiyofundisha watu wake lugha?
Tena mimi ningependa masomo ya lugha yaongezwe na yakaziwe msumari. Watu wajifunze lugha nyingi kadiri inavyowezekana.
Shida yenu hata maana ya elimu bora hamfahamu! Mmejaa siasa siasa tu na ushabiki maandazi.
Elimu ya Tanzania ni nzuri isipokuwa inahitaji maboresho machache. Masomo yaongezwe lakini wanafunzi wafanye uchaguzi.
Niliwahi kuandika hapa kwamba "specialization" ianze kufanyika mapema kuanzia sekondari badala ya kuwatwika wanafunzi masomo yote wasome kila kitu.
Ongeza masomo, zidisha specialization.
Hiyo lugha ya Kiswahili akimaliza shule atatumia hiyo kama asset wapi ili apate pesa?Unashauri somo la Lugha inayotambulisha Taifa na Utamaduni wa Mtanzania iondolewe. Pia somo linalohusu maisha ya kila siku ya jamii yetu civics liondolewe???
Fikiri kwa mara ya pili.
Hiyo lugha ya Kiswahili akimaliza shule atatumia hiyo kama asset wapi ili apate pesa?
Hiyo civics ataitumia wapi ili ajiajiri aitumie imwingizie pesa?
Unajua kwamba non fiction inachosha Kusoma au kutizama?anagalia watoto walivo wepesi kufuatilia series hata mwaka mzima bila kuchoka lakini hawezi kusikiliza hotuba ya dakika 30 AI taarifa ya habari ya dkk 30.Ni kweli tuondoe fiction books watoto wasome reality books.Kama how to be a millionaire nk