Binafsi naungana na wewe, sioni maana ya kusoma democracy, government, multiparty, kinjekitile nk na kuacha kusoma vitu kama kilimo cha umwagiliaji na ufugaji wa kisasa kuanzia ngazi ya msingi hadi sekondari! Tuendako ajira rasmi zitakuwa ngumu sana ni bora kujiandaa kwa hili