Masota: Bongo fleva artist na komandoo wa JWTZ afariki dunia

JWTZ ni watumishi wa kuheshimiwa sana maana wanakesha kulinda mipaka yetu sisi tunalala majumbani kwetu. Wanafanya kazi ya kizalendo kabisa kwa ajili ya ustawi wa nchi yetu.
Hakuna anayefanya kwa ajili ya uzalendo, kilamtu anafanya kazi kwa ajili ya tumbo, kwani Police wanaotulinda kilasiku dhidi ya wahalifu hawapaswi kuheshimiwa? Au wewe ni mwanajeshi unataka tukuone wa maana sana kuliko binadam wengine? Nonsense!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…