mij
JF-Expert Member
- Mar 22, 2013
- 1,993
- 2,120
kwani hawalipwi?
Kwani kuna mtu analazimishwa kua mwanajeshi?
Wanacholipwa JWTZ hakiitwi mshahara ila ni posho. Hivi wakitaka walipwe mshahara unadhani kwa akili yako mbovu hivi mtaweza kweli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwani hawalipwi?
Kwani kuna mtu analazimishwa kua mwanajeshi?
yaha Ni Uzi si unaona hata umbo lakeWakali wa hizi kazi hiyo ni UZI? RIP commando
Haaaaa mkuuu duh c kwa maswali hayokwani hawalipwi?
Kwani kuna mtu analazimishwa kua mwanajeshi?
Wanaruhusiwa kwa masharti maalum.kumbe hao elite nao wanaruhusiwa kuwa na fani nyingine kama hiyo ya muziki
Wanajulikana na wanatambulika.ni salama kubainika kuwa wewe ni komando..?
Tupe umri wako kwanza.Me niko kwenye music industry lakini simjui
R.I.P
Umri wako katika kutega sikio mzikini tafadharisijawahi kujua kuna mwanamziki anaitwa hivyo Tanzania
Hiyo nyimbo yake alikuwa anasikiliza mwenyewe?
R.I.P Soldier
RIPHabari wadau wa JF na Bongo fleva,
Aliyekuwa mwanamziki wa bongo fleva na komandoo wa JWTZ aliyejulikana kama Masota afariki dunia.
Masota alitamba na vibao kadhaa alivyorecord kwa producer Majani miaka ya 2004 "Visa vya madent ",Marehemu ameacha mke na watoto watatu,ukiachia mziki pia alikuwa komandoo wa JWTZ kikosi cha ngelengele.
View attachment 650390View attachment 650391View attachment 650392
Hakuna anayefanya kwa ajili ya uzalendo, kilamtu anafanya kazi kwa ajili ya tumbo, kwani Police wanaotulinda kilasiku dhidi ya wahalifu hawapaswi kuheshimiwa? Au wewe ni mwanajeshi unataka tukuone wa maana sana kuliko binadam wengine? Nonsense!!!JWTZ ni watumishi wa kuheshimiwa sana maana wanakesha kulinda mipaka yetu sisi tunalala majumbani kwetu. Wanafanya kazi ya kizalendo kabisa kwa ajili ya ustawi wa nchi yetu.
We kwani mbona Mr Nice tunamjuaTupe umri wako kwanza.
We kwani mbona Mr Nice tunamjua[/QUOTE
Bila shaka Mkuu ni mpenzi wa wakata mauno.
Mpenzi wa Hip hop huwez kosa kumjua Masota
We kwani mbona Mr Nice tunamjua[/QUOTE
Bila shaka Mkuu ni mpenzi wa wakata mauno.
Mpenzi wa Hip hop huwez kosa kumjua Masota
Yeah ni Uzi Gun hiyoWakali wa hizi kazi hiyo ni UZI? RIP commando
Sio sirini salama kubainika kuwa wewe ni komando..?
Komandoo akafanye nini kongo?Kongo pia kuna makomandoo waliofariki?
Kwa Lipi? Acha kujikweza kiboya hakuna mtumishi muhimu kuliko mwingineWanacholipwa JWTZ hakiitwi mshahara ila ni posho. Hivi wakitaka walipwe mshahara unadhani kwa akili yako mbovu hivi mtaweza kweli.
Kwa Lipi? Acha kujikweza kiboya hakuna mtumishi muhimu kuliko mwingine