screpa
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 10,857
- 15,866
Inaonesha bwanawako ni mwanajeshiBoya ni wewe, kwani naini kakwambia ni askari, Ebu punguza ujinga wako hapa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaonesha bwanawako ni mwanajeshiBoya ni wewe, kwani naini kakwambia ni askari, Ebu punguza ujinga wako hapa.
Mjinga ni wewe unayedhani luna watumishi muhimu kuliko wengine, tushindwe kuwalipa wanajeshi kwa lipi wanalofanya?Boya ni wewe, kwani naini kakwambia ni askari, Ebu punguza ujinga wako hapa.
Hakuna anayefanya kwa ajili ya uzalendo, kilamtu anafanya kazi kwa ajili ya tumbo, kwani Police wanaotulinda kilasiku dhidi ya wahalifu hawapaswi kuheshimiwa? Au wewe ni mwanajeshi unataka tukuone wa maana sana kuliko binadam wengine? Nonsense!!!
Inaonesha bwanawako ni mwanajeshi
Acha UFA. La ndugu kwani mshahara wa laki moja na posho ya laki 2, ipi kubwa?Wanacholipwa JWTZ hakiitwi mshahara ila ni posho. Hivi wakitaka walipwe mshahara unadhani kwa akili yako mbovu hivi mtaweza kweli.
Acha UFA. La ndugu kwani mshahara wa laki moja na posho ya laki 2, ipi kubwa?
Acha u.se. nge mwengine kwani kuna mtu anashikiwa bunduki kuwa mwanajeshi......... Eti wangekuwa wanalipwa mshahara tusingeweza.............. Hizo ni kauli za jeshini za kutiana moyo tu?.......... Hakuna chochote wanajeshi ni wafanyakazi kama taaluma zingine tu, ndio mana mwanajeshi aliye na elimu ndefu analipwa vizuri kuliko mwenye elimu ndogo............ Kama unaona jeshi ni kazi ya kujitolea basi hio posho unayopata usichukue na kama unaona hio posho ni ndogo kazi ni kibao mtaani chagua unayoitaka fanya.......... KWANZA ASILIMIA KUBWA YA WANAOENDA HUKO NI WALIOFELI(ASILIMIA KUBWA SIO WOTE)
Sent from my HTC Desire 626GPLUS dual sim using JamiiForums mobile app
Sio kauli nzuri.Duu makomando wavuta magari kwa meno kwenye sherehe za uhuru kumbe nao wanakufaga
Hizi akili za takoni sio kichwani ni nani katika ulimwengu hatokufa ,,,au nyie nyumbuDuu makomando wavuta magari kwa meno kwenye sherehe za uhuru kumbe nao wanakufaga
Mabomu gani yanatumika kwenye mazoezi na kwenye maazimisho ya uhuru?Alikuwa kwenye maandalizi ya sikukuu ya Uhuru akiwa kikundi Cha landing Kutoka kwenye helicopter unfortunately alilipukiwa na bomu
Hasira za kuachwa kwenye usahili maliza na mkeo ,hauwezi kufahamu kinachoendelea chumbani kama haulali chumba hcho shubamiti kibwengo wewAcha UFA. La ndugu kwani mshahara wa laki moja na posho ya laki 2, ipi kubwa?
Acha u.se. nge mwengine kwani kuna mtu anashikiwa bunduki kuwa mwanajeshi......... Eti wangekuwa wanalipwa mshahara tusingeweza.............. Hizo ni kauli za jeshini za kutiana moyo tu?.......... Hakuna chochote wanajeshi ni wafanyakazi kama taaluma zingine tu, ndio mana mwanajeshi aliye na elimu ndefu analipwa vizuri kuliko mwenye elimu ndogo............ Kama unaona jeshi ni kazi ya kujitolea basi hio posho unayopata usichukue na kama unaona hio posho ni ndogo kazi ni kibao mtaani chagua unayoitaka fanya.......... KWANZA ASILIMIA KUBWA YA WANAOENDA HUKO NI WALIOFELI(ASILIMIA KUBWA SIO WOTE)
Sent from my HTC Desire 626GPLUS dual sim using JamiiForums mobile app
Yaani mtu mzima niache business zangu za maana niende jeshini?, acha wenye njaa waende huko............. Wakale na kulala bureHasira za kuachwa kwenye usahili maliza na mkeo ,hauwezi kufahamu kinachoendelea chumbani kama haulali chumba hcho shubamiti kibwengo wew
Wajeda kwa mini msimtafute huyu mka deal naeAcha UFA. La ndugu kwani mshahara wa laki moja na posho ya laki 2, ipi kubwa?
Acha u.se. nge mwengine kwani kuna mtu anashikiwa bunduki kuwa mwanajeshi......... Eti wangekuwa wanalipwa mshahara tusingeweza.............. Hizo ni kauli za jeshini za kutiana moyo tu?.......... Hakuna chochote wanajeshi ni wafanyakazi kama taaluma zingine tu, ndio mana mwanajeshi aliye na elimu ndefu analipwa vizuri kuliko mwenye elimu ndogo............ Kama unaona jeshi ni kazi ya kujitolea basi hio posho unayopata usichukue na kama unaona hio posho ni ndogo kazi ni kibao mtaani chagua unayoitaka fanya.......... KWANZA ASILIMIA KUBWA YA WANAOENDA HUKO NI WALIOFELI(ASILIMIA KUBWA SIO WOTE)
Sent from my HTC Desire 626GPLUS dual sim using JamiiForums mobile app
...... Acha ushoga chief........ Hii ni Jamii forum.......hujaitwa usome nyuzi yeyote humu.Wajeda kwa mini msimtafute huyu mka deal nae
Kweli maisha ni safari ndefu sana kipindi hicho alikuwa hajui kama baadae atakuja kuwa komando na mtu muhimu sana jeshini,daima tutakukumbukaMsikilizeni nime-attach wimbo wake.