Masoud Kipanya adaiwa kukamatwa kwa kuchora katuni ya kichochezi. Yeye aibuka, adai aliyetoa taarifa 'AMESAIDIA'

Masoud Kipanya adaiwa kukamatwa kwa kuchora katuni ya kichochezi. Yeye aibuka, adai aliyetoa taarifa 'AMESAIDIA'

Safi sana ifike mahali tutofaitishe yupi simba yupi mbwa
 
aisee hii kali sasa naona mwaka unaanza vizuri kabisa
 
Nilifikilia alipotubu akaacha zambi kumbe ndo anaendelea tu
IMG_20180101_165829.jpg
IMG_20180101_165822.jpg
IMG_20180101_165816.jpg
IMG_20180101_165712.jpg
Screenshot_2018-01-01-16-57-41.png
 
Kipanya kukamatwa kwa kuchora katuni ni habari kubwa, Lakini, kwa nini asikamatwe mhariri aliyechapisha habari hiyo?
 
Police hawana kazi ya kufanya uzalendo wateendelea kuuskia kwenye vyombo habari
 
Back
Top Bottom