Hute
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,537
- 6,472
serikali huwa haikosi kesi mkuu. wakikosa kabisa utakuta kuna money laundering hapo akaepo ndani kidogo afu watakuja kufuta akishanyooka.....Hakuna kesi hapo ni kupoteza muda tu, labda wampe kesi ya kuhujumu uchumi.