Pundugu
JF-Expert Member
- Sep 22, 2017
- 212
- 585
Polisi wanatekeleza wanachoambiwa na kiongozi wao theb wanakuwa hawana attention tena kinachoendelea baada ya kukamata.
Hata kama wakamkamata mtu halafu hapohapo kiongozi wao anabadilisha mawazo na kusema mtuhumiwa aachiwe hata hawahoji kuwa kwann walitumia nguvu kubwa kukamata halafu mtu kaachiwa palepale.
Hata kama wakamkamata mtu halafu hapohapo kiongozi wao anabadilisha mawazo na kusema mtuhumiwa aachiwe hata hawahoji kuwa kwann walitumia nguvu kubwa kukamata halafu mtu kaachiwa palepale.