Kwa kuichambua picha;hiyo skeleton iamevaa headphone nyekundu..rangi ya simba[emoji16] huku Kavaa kogia ya rangi ya CCM na yanga[emoji16],anavuta fegi huku akiwa amekunja nne.Pembeni kushoto chini ameweka bunduki(AK-47 ) .Ukiangalia hapo mezani kuna glass ya whiskey lkn ukiangalia kinywani kwake utagundua jamaa anakunywa damu na anaonekana kufurahia kabisa kinachoendelea hapo
Kwenye draft ameweka kalamu(ni km anacheza na kufundisha).Drafti Lina rangi ya yanga na CCM [emoji16]
Upande wa pili kuna mwanamke aliyevaa ushungi ambae anaonekana yupo ktk mchezo wa draft na hiyo skeleton lkn anaonekana amechoka sn Hadi kujiinamia na km amekata tamaa ya kuendelea na mchezo.Kitu cha ajabu kutoka kwake ni kwamba mikono yake ameota kucha km za mwewe au mnyama MLA nyama(predator)
Kuna kitu cha ziada kwenye hiyo picha nimekiona..ukimwangalia huyo skeleton ni km anacheka na kuongea maneno haya"mama nilikuambia enzi hizo ili ushinde huu mchezo unatakiwa uwe kauzu km nilivyokuwa Mimi.Ona sasa mchezo ulivyojushinda mapema sn hata mwaka haujamaliza"
Mama anatiwa moyo na mwalimu wake ambaye kiuhalisia hata yeye mwalimu mbinu zake ni km zilifeli na ndy maana yupi ktk state hiyo.. pamoja na kumiliki mititu ya bunduki na kuziba masikio na kunywa damu za watu alizoletewa na watu wasiojulikana lkn hakufua dafu..mama akatwe kucha!!
Sijui Nina maksi ngapi
Sent from my CPH1923 using
JamiiForums mobile app