Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pythagorus gani?=>Nimemuelewa vizuri kabisa huyu bwana kipanya.
=>Nimepitia comments hakuna hata mmoja alieelekea, wote mmeenda OP.
=>Kwenye hii katuni hakuna JPM wala mzimu wake.
_______________________________
=>Kwa katuni hii nimegundua Kipanya sio mtu wa kawaida ni zaidi ya tunavyomjua, kama ni wakawaida basi yeye katekeleza tu maagizo ya kazi aliyopewa.
[emoji820]Nahisi hii katuni imeletwa kwaajili ya surveillance.
NB:Huyu pythegoras mnaweza mkarukanae anaweza kua sahihi ingawa hiyo mungiki sijaelewa ni nini.
We muache tu,anachokitafuta atakipataHuku ni kuvuka mipaka.Nchi imekuwa ya hovyo sana
Mpaka gani ?Huku ni kuvuka mipaka.Nchi imekuwa ya hovyo sana
Umesema kweli mkuu, huyu jamaa amepoteza mwelekeo, kazi iliyo baki ni kukashifu na kudhihaki, nadhani hii yote ni njaa, anaona bila kuchora katuni za kukashifu na kudhihaki hawezi kupata mafao ya kutosha.Kweli kipanya kalewa misifa!
Sasa hichi anacho kifanya ni utoto
Ushindwe, mleta bandiko hili !Mzimu wa Magu unamtesa mama
acha kutisha watu, nanyi kuna siku mtapatikana mtalipa mabaya yote unadhani kwani hamjulikani, it is a matter of time....... vifua vya watu vina mengi kwenuWe muache tu,anachokitafuta atakipata
Asitumie kipaji chake cha kuchora kukejeli watawala
wewe ndiyo unafikiri kitoto, katuni hii inahitaji high mental power reasoning and interpretationKweli kipanya kalewa misifa!
Sasa hichi anacho kifanya ni utoto
Pythagorus gani?
Skeletoni( Freemasonry), Bunduki( Ugaidi), kikombe cha damu( Mungiki)
HuyuPythagorus gani?
Skeletoni( Freemasonry), Bunduki( Ugaidi), kikombe cha damu( Mungiki
Lazima tujue kwanza kama mchezaji aliyekaribu na kipanya kama naye ana kete nne ama tatu au zaidi ya nne!!!Mimi ndivyo nilivyo elewa wewe jee?
Hio sio whisi weweKwani JPM akivuta sigara? Hiyo wisk vip? Kofia kichwan inauhusiano gani na hayati.
Pumbavu Sana wewe.huyu kipanya ni mchochezi na anatumika vibaya kwa masilahi ya tumbo lake.
tuna muonya atumie vizuri taaluma yake, asilewe misifa! akajisahau.
Nimtishe namuelekeza,kama ana ndugu wanampenda wamwambie,asije sema hakuambiwa,uhuru usitumike kuvuka mipakaacha kutisha watu, nanyi kuna siku mtapatikana mtalipa mabaya yote unadhani kwani hamjulikani, it is a matter of time....... vifua vya watu vina mengi kwenu