KASULI
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 599
- 677
Mods naomba msiunganishe Huu huziii tafadhalii
Binafsi nmekuwa mfatiliaji wa Katuni au Vikaragosi vya Mchora katuni Nguli pengine wa Muda wote hapa Tanzania. Kikaragosi akiongeii ila utoa taarifa fulani juu ya kitu. Kama zilivyo kazi ngingine za Sanaa Vikaragosi pia uburudisha na kufkirisha sana.
Hivyo kulingana na Unyeti wa Kazi hizi za huyu bwana mkubwa kumekuwepo na hali ya baadhi ya wanajamii kufungua nyuzi nyingi za kuongeleaa katuni au vikaragosi vya Masoud maarufu kama Kipanya.
Nimeona ni busara sasa tuwe na uzi ambao utakuwa ni mkusanyiko wa vikaragosi vya Masoud ilii kutoa nafasi ya kujadili kwa pamoja ni ujumbe gani ulikusudiwa na mtunzi na mchoraji wa Vikaragosi hivii.
Vikaragosii hivii utokaa kwenye gazeti la Mwananchi au kwenye kurasa rasmi za mitandao ya kijamii ya Masoudii....
Kwa kuanzia sasa ebu wanajamvii tuwaze hapa Kipanya alimaanisha nini.... Karibunii
Binafsi nmekuwa mfatiliaji wa Katuni au Vikaragosi vya Mchora katuni Nguli pengine wa Muda wote hapa Tanzania. Kikaragosi akiongeii ila utoa taarifa fulani juu ya kitu. Kama zilivyo kazi ngingine za Sanaa Vikaragosi pia uburudisha na kufkirisha sana.
Hivyo kulingana na Unyeti wa Kazi hizi za huyu bwana mkubwa kumekuwepo na hali ya baadhi ya wanajamii kufungua nyuzi nyingi za kuongeleaa katuni au vikaragosi vya Masoud maarufu kama Kipanya.
Nimeona ni busara sasa tuwe na uzi ambao utakuwa ni mkusanyiko wa vikaragosi vya Masoud ilii kutoa nafasi ya kujadili kwa pamoja ni ujumbe gani ulikusudiwa na mtunzi na mchoraji wa Vikaragosi hivii.
Vikaragosii hivii utokaa kwenye gazeti la Mwananchi au kwenye kurasa rasmi za mitandao ya kijamii ya Masoudii....
Kwa kuanzia sasa ebu wanajamvii tuwaze hapa Kipanya alimaanisha nini.... Karibunii