Masoud Kipanya alimaanisha nini kwenye mchoro huu?

Masoud Kipanya alimaanisha nini kwenye mchoro huu?

Mods naomba msiunganishe Huu huziii tafadhalii

Binafsi nmekuwa mfatiliaji wa Katuni au Vikaragosi vya Mchora katuni Nguli pengine wa Muda wote hapa Tanzania. Kikaragosi akiongeii ila utoa taarifa fulani juu ya kitu. Kama zilivyo kazi ngingine za Sanaa Vikaragosi pia uburudisha na kufkirisha sana.

Hivyo kulingana na Unyeti wa Kazi hizi za huyu bwana mkubwa kumekuwepo na hali ya baadhi ya wanajamii kufungua nyuzi nyingi za kuongeleaa katuni au vikaragosi vya Masoud maarufu kama Kipanya.

Nimeona ni busara sasa tuwe na uzi ambao utakuwa ni mkusanyiko wa vikaragosi vya Masoud ilii kutoa nafasi ya kujadili kwa pamoja ni ujumbe gani ulikusudiwa na mtunzi na mchoraji wa Vikaragosi hivii.

Vikaragosii hivii utokaa kwenye gazeti la Mwananchi au kwenye kurasa rasmi za mitandao ya kijamii ya Masoudii....

Kwa kuanzia sasa ebu wanajamvii tuwaze hapa Kipanya alimaanisha nini.... Karibunii
1633084858674.jpg
 
Hapo anamaanisha kwamba "MAMA", Bi Mkubwa kabisa kwa kutojua, anacheza draft na watu hatari (alishirikisha watu ambao ni hatari kwa ustawi wa watanzania). Tayari wameshamwingiza "KINGI", na yeye ametambua. MAMA anafikiria namna ya kujinasua/kutoka/kujitoa/kuachana nao, lakini hapati jibu/njia ya kutokea. Kiufupi amenasa (hapati njia ya kuachana nao) wakati watu hao wakiendelea kunyonya damu za watu/kufisadi/kuhujumu/kuumiza watanzania. Kilangila.
 
Watu wanahangaika Sana wakat hapo ni maana moja Tu , system ya jiwe inamsumbua mama namna ya kwenda nayo , na kuipiga chini ni ngumu zaidi ya maelekezo japo wapambe wanamtia Moyo kufanya overwhaul
 
Hapo anamaanisha kwamba "MAMA", Bi Mkubwa kabisa kwa kutojua, anacheza draft na mafisadi. Tayari wameshamwingiza "KINGI". MAMA anafikiria namna ya kutoka/kujitoa/kuachana nao, lakini hapati jibu/njia ya kutokea. Kiufupi amenasa, wakati mafisadi wanaendelea kunyonya damu za watu/kufisadi/kuhujumu/kuumiza watanzania. Kilangila.
Bunduki, hali ya mshindi ni nje ya mwili/mfu. Maisha ya anasa na kisera zaidi (headphones, bangi, mavazi) vinachangiaje kwenye maudhui?
 
Nimeona mchoro huu nikajiuliza aliwaza nini kabla ya mdau kutoa ufafanuzi wake, Kama iko vivyo mdau alivyosema basi Kipanya ametukosea Sana watanzania, mtu akifa aachwe afe.

Kusema Samaia anajifunza ya JPM ni kukosea sana hasa ukisema anajifunza mabaya tu.

USSRView attachment 1959093
=>Nimemuelewa vizuri kabisa huyu bwana kipanya.

=>Nimepitia comments hakuna hata mmoja alieelekea, wote mmeenda OP.

=>Kwenye hii katuni hakuna JPM wala mzimu wake.
_______________________________

=>Kwa katuni hii nimegundua Kipanya sio mtu wa kawaida ni zaidi ya tunavyomjua, kama ni wakawaida basi yeye katekeleza tu maagizo ya kazi aliyopewa.

🔘Nahisi hii katuni imeletwa kwaajili ya surveillance.

NB:Huyu pythegoras mnaweza mkarukanae anaweza kua sahihi ingawa hiyo mungiki sijaelewa ni nini.
 
Bunduki, hali ya mshindi ni nje ya mwili/mfu. Maisha ya anasa na kisera zaidi (headphones, bangi, mavazi) vinachangiaje kwenye maudhui?
Bunduki inamaanisha kwamba, asipokuwa muangalifu hata yeye wanaweza kummaliza. Maisha ya anasa ni kwamba wamemshauri awe mtalii wa kuzunguka nchi mbalimbali ili kuwapa upenyo wa kufanya vitu vyao. Headphones ni kwamba wameziba masikio wasisikie malalamiko ya watz dhidi yao, huku wao na familia zao wakiendelea kula anasa (bangi na mavazi), hali watz walio wengi wakiendelea kutaabika (tozo, kodi, bei za bidhaa, kutolewa machinga n.k.). Kilangila.
 

Je Masudi kaona nini mpaka analeta hichi? Mama bado anaupiga mwingi?
 
Hata hivyo skeleton inalindwa na mtutu wa bunduki.
=>Kwa katuni hii nimegundua Kipanya sio mtu wa kawaida ni zaidi ya tunavyomjua, kama ni wakawaida basi yeye katekeleza tu maagizo ya kazi aliyopewa.
Tuendeleeni kuunganisha doti

1633089246597.png



"Draft(#bunge) waga wanacheza wawil wanaoshindana(#multiparty) ila hapo bunge nila chama kimoja na kete(#wabubge) wako ipande mmoja na hakuna ushindani na sehem ya #upinzani Kuna damu Tu. amewekwa Mkuu wa polisi akipokokea #maelekezoKutokaJuu kuwaumiza nakuhakikisha hawafany kazi."
FAl_MuUXMA4lmiE
 
Back
Top Bottom