Hivi anajua njia nzuri ya kula cannabis au mnachanganya na maua yenye high tetrahydrocannabinol concentration inayowehusha watu??Aisee nimeona msokoto hapo kwenye hilo draft, weekend hii nangojea jioni nika-roll za kutosha nipoteze mawazo
Yaan nilivyoona hilo likidevu tu😂😂Mama enu mdogo anacheza kamari na shetani(CCM) na tayari ameliwa.
Masudi nae adhibitiwe huu mchoro wake unaweza kuzua taharuki binafsi nimetafsiri tofauti sana.....in a negative wayNimeona mchoro huu nikajiuliza aliwaza nini kabla ya mdau kutoa ufafanuzi wake, Kama iko vivyo mdau alivyosema basi Kipanya ametukosea Sana watanzania, mtu akifa aachwe afe.
Kusema Samaia anajifunza ya JPM ni kukosea sana hasa ukisema anajifunza mabaya tu.
USSRView attachment 1959093
😄 👇 👇Masudi nae adhibitiwe huu mchoro wake unaweza kuzua taharuki binafsi nimetafsiri tofauti sana.....in a negative way
Na hajaweka majina sasa hayo mengine nyie mnayatoa wapi?
Ilo skeretoni ni rahisi kulihusisha na JPM cos alishafariki laiki ukitoa ilo hakuna kitu kingine ambacho unaweza kukihusisha na JPM hapo! Binafsi naona Mama yuko na Mafia fulani ndani ya chama chao.Kwa kuichambua picha;hiyo skeleton iamevaa headphone nyekundu..rangi ya simba[emoji16] huku Kavaa kogia ya rangi ya CCM na yanga[emoji16],anavuta fegi huku akiwa amekunja nne.Pembeni kushoto chini ameweka bunduki(AK-47 ) .Ukiangalia hapo mezani kuna glass ya whiskey lkn ukiangalia kinywani kwake utagundua jamaa anakunywa damu na anaonekana kufurahia kabisa kinachoendelea hapo
Kwenye draft ameweka kalamu(ni km anacheza na kufundisha).Drafti Lina rangi ya yanga na CCM [emoji16]
Upande wa pili kuna mwanamke aliyevaa ushungi ambae anaonekana yupo ktk mchezo wa draft na hiyo skeleton lkn anaonekana amechoka sn Hadi kujiinamia na km amekata tamaa ya kuendelea na mchezo.Kitu cha ajabu kutoka kwake ni kwamba mikono yake ameota kucha km za mwewe au mnyama MLA nyama(predator)
Kuna kitu cha ziada kwenye hiyo picha nimekiona..ukimwangalia huyo skeleton ni km anacheka na kuongea maneno haya"mama nilikuambia enzi hizo ili ushinde huu mchezo unatakiwa uwe kauzu km nilivyokuwa Mimi.Ona sasa mchezo ulivyojushinda mapema sn hata mwaka haujamaliza"
Mama anatiwa moyo na mwalimu wake ambaye kiuhalisia hata yeye mwalimu mbinu zake ni km zilifeli na ndy maana yupi ktk state hiyo.. pamoja na kumiliki mititu ya bunduki na kuziba masikio na kunywa damu za watu alizoletewa na watu wasiojulikana lkn hakufua dafu..mama akatwe kucha!!
Sijui Nina maksi ngapi
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Kila kete atakayogusa ni ya moto.......Mzimu wa magu unamsumbua mama balaa. Alafu hapo mama hana kete ya kucheza magu kashampiga pini [emoji2][emoji2]
Kama ni draft hapo ni droo.Kila kete atakayogusa ni ya moto.......
na ni zamu yake kucheza....
Hamna droo hapo ni zamu ya mama kucheza kila kete atakayocheza kuanzia sasa analiwa.....Kama ni draft hapo ni droo.
Hujui draft mkuu hiyo game ukiifuatilia mpaka mwisho ni drooHamna droo hapo ni zamu ya mama kucheza kila kete atakayocheza kuanzia sasa analiwa.....
huyu KP mpuuzi kweli
Maza anacheza michezo ya chama na chama ambacho kwa sasa kina michezo au siasa mfu. Yaani chama kisicho na uhai wa kisiasa.....Nimeona mchoro huu nikajiuliza aliwaza nini kabla ya mdau kutoa ufafanuzi wake, Kama iko vivyo mdau alivyosema basi Kipanya ametukosea Sana watanzania, mtu akifa aachwe afe.
Kusema Samaia anajifunza ya JPM ni kukosea sana hasa ukisema anajifunza mabaya tu.
USSRView attachment 1959093
Wasiojua sayansi ya mmea wanaanza kwa pupa na jamii zenye THC kubwa wazoefu tunajua upi unafaa (THC ndogo ,CBD kubwa ama ya wastani), na wakati unaofaa...mimea ya huku Arusha inapendwa hata na watalii wastaarabu kwa sababu ukitaka experience iliyostaarabika ipo na ukitaka kuwehuka pia ipo, kwa hiyo mkuu tunakula inavyotakiwaHivi anajua njia nzuri ya kula cannabis au mnachanganya na maua yenye high tetrahydrocannabinol concentration inayowehusha watu??
Safi mkuu..knowledge nzuri kuhusu jambo fulani ambalo unalifanya ni kitu poa sana.Wasiojua sayansi ya mmea wanaanza kwa pupa na jamii zenye THC kubwa wazoefu tunajua upi unafaa (THC ndogo ,CBD kubwa ama ya wastani), na wakati unaofaa...mimea ya huku Arusha inapendwa hata na watalii wastaarabu kwa sababu ukitaka experience iliyostaarabika ipo na ukitaka kuwehuka pia ipo, kwa hiyo mkuu tunakula inavyotakiwa
Uzi huo upo kitambo tu humu JFBinafsi nmekuwa mfatiliaji wa Katuni au Vikaragosi vya Mchora katuni Nguli pengine wa Muda wote hapa Tanzania. Kikaragosi akiongeii ila utoa taarifa fulani juu ya kitu. Kama zilivyo kazi ngingine za Sanaa Vikaragosi pia uburudisha na kufkirisha sana.
Hivyo kulingana na Unyeti wa Kazi hizi za huyu bwana mkubwa kumekuwepo na hali ya baadhi ya wanajamii kufungua nyuzi nyingi za kuongeleaa katuni au vikaragosi vya Masoud maarufu kama Kipanya.
Nimeona ni busara sasa tuwe na uzi ambao utakuwa ni mkusanyiko wa vikaragosi vya Masoud ilii kutoa nafasi ya kujadili kwa pamoja ni ujumbe gani ulikusudiwa na mtunzi na mchoraji wa Vikaragosi hivii.
Vikaragosii hivii utokaa kwenye gazeti la Mwananchi au kwenye kurasa rasmi za mitandao ya kijamii ya Masoudii....
Kwa kuanzia sasa ebu wanajamvii tuwaze hapa Kipanya alimaanisha nini.... KaribuniiView attachment 1959256
Modes msiunganishe huu huziii