Masoud Kipanya alimaanisha nini kwenye mchoro huu?

walioona mashine ka ile hamza alotumia chuzi kati wanyooshe mikono juuu

kipanya naee mmbea, amekuja kaa upande wa mama
 
Pythagorus gani?
 
Kweli kipanya kalewa misifa!
Sasa hichi anacho kifanya ni utoto
Umesema kweli mkuu, huyu jamaa amepoteza mwelekeo, kazi iliyo baki ni kukashifu na kudhihaki, nadhani hii yote ni njaa, anaona bila kuchora katuni za kukashifu na kudhihaki hawezi kupata mafao ya kutosha.
sasa atajimaliza mwenyewe
 
Wakuu naomba msaada kwa mwenye uelewa yakinifu juu ya picha hii.
Leo katika pitapita zangu social picha hii imezagaa kila upande naomba msaada juu ya maana halisi.
Nawasilisha.
 
Mama anacheza panga, pangua kuitokomeza Kambi ya marehemu mwendazake wakati hiyo Kambi haipo tena, ilibadirika na kuwa kitu kingine....
Chama kipya cha siasa chenye kumuenzi mbabe wa fitina za Tanzania soon kinakuja!
 
Chifu ana wakati mgumu sana ingawa wapambe wake wanamsifia kuupiga mwingi.
 
We muache tu,anachokitafuta atakipata

Asitumie kipaji chake cha kuchora kukejeli watawala
acha kutisha watu, nanyi kuna siku mtapatikana mtalipa mabaya yote unadhani kwani hamjulikani, it is a matter of time....... vifua vya watu vina mengi kwenu
 
Ndio kusema mama keshapigwa "super" na mzimu huko CCM!?
 
Kwani JPM akivuta sigara? Hiyo wisk vip? Kofia kichwan inauhusiano gani na hayati.
Hio sio whisi wewe

Ni kimiminika chenye rangi nyekundu hata wewe unacho

Kinywaji cha mashetani
 
huyu kipanya ni mchochezi na anatumika vibaya kwa masilahi ya tumbo lake.
tuna muonya atumie vizuri taaluma yake, asilewe misifa! akajisahau.
Pumbavu Sana wewe.

Acha kutishia watu

Kipanya kachora tafsiri iko kwenye kichwa nazi chako

Unaweza niamba kachora ninj hapo na unaweza nithihitishia alichochora
 
acha kutisha watu, nanyi kuna siku mtapatikana mtalipa mabaya yote unadhani kwani hamjulikani, it is a matter of time....... vifua vya watu vina mengi kwenu
Nimtishe namuelekeza,kama ana ndugu wanampenda wamwambie,asije sema hakuambiwa,uhuru usitumike kuvuka mipaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…