Masoud Kipanya amfungulia Mwijaku Kesi ya Madai ya Tsh. Bilioni 5 kwa kumtuhumu kufanya biashara haramu

Mkuu hapa umemaliza, hii kesi itaisha kwa kuombewa msamaha na mamlaka kuu..B5 haipo hapo!
 
Tabia mbovu sana kuwadhalilisha na kujifanya wanaomba radhi. Damage inakuwa imeishafanyika.
Akaiambie mahakama biashara haramu ipi hiyo japo maelezo yake yanaashiria ni biashara ya nganda.
KP akaze hivyo hivyo hadi kieleweke mahakamani. Hata kama hatapewa 5B, chochote kitu alipwe ili design ya Mwijako wanyooke.
 

Kijana ameyatimba
 
Vipi mwijaku akisimama mahakamani na kusema Kipanya alikuwa akifanya biashara haramu ya kutangaza pombe kipindi cha maisha plus . Unywaji wa pombe ni hatari kwa afya za vijana wengi. Kidini upande wa uislam pombe ni haram
 
Binafsi nilishangaa sana!

Public figure una mu attack mtu maarufu live Kwa media Kwa tuhuma nzito kama hiyo kivipi!!?

Hivi zile seminar elekezi Kwa viongozi baada ya kuteuliwa Bado zipo!!?au tangu zifutwe awamu ile!!
 
Ndio maana marehemu Mengi aliwahi kutaka fudia ya shilingi moja mdaiwa wake, nadhani alikua manji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…