Masoud Kipanya amfungulia Mwijaku Kesi ya Madai ya Tsh. Bilioni 5 kwa kumtuhumu kufanya biashara haramu

Subiri mkuu utaziona tiktaka
 
B500 Masudi nae hayuko serious inakuwa kama kiki tu ya kuikuza Crown kwamba sasa watu wamfatilie Mwijaku akiwa Crown anasema nini kuhusu hilo huku clouds ikiendelea kufuatiliwa.
Unaijua Hali aliuonayo mwijaku Sasa ivi? By the way msikilize vena wakili komba amesema hiyo ni beu ya kanzia, unaweza kupunguza au kuongezeka kulingangana na mahaka itakavyoakua.
 
Kipanya funga kabisa hilo dude jinga sana yaani funga na alipe
 
Mijitu kama hii inaharibu tasinia ya habari nakufanya taifa kuwa la wapiga upatu nakulamba miguu ya mabwana
 
Kama ataadhibiwa basi iwe fundisho kwa machawa na waropokaji wote walio jificha kwenye kichaka cha uwandishi wa habari wakati hawajakaa dasarani kusomea tasnia ya habari ila wameajiriwa kijanja janja.
 
B500 Masudi nae hayuko serious inakuwa kama kiki tu ya kuikuza Crown kwamba sasa watu wamfatilie Mwijaku akiwa Crown anasema nini kuhusu hilo huku clouds ikiendelea kufuatiliwa.
Is not about crown, mdomo wa jamaa hauna breki hauna mipaka. its time awajinishwe , si kila mtu anahitaji mdomo wake
 
Sheria huwa hazisemi hivyo mkuu. Unadhani wale ambao mali zao hupigwa minada huwa ni mabachela pekee? Kuna watu walijsribu kuleta uhuni huo, yaani mali zilipokamatwa mke ndiyo akaenda kukataa mahakamani kwamba hatambui deni sababu hakuwahi kuambiwa na mali zinazokamatwa ni matrimonial properties, lakini wakaangukoa pua.
 
Vipi mwijaku akisimama mahakamani na kusema Kipanya alikuwa akifanya biashara haramu ya kutangaza pombe kipindi cha maisha plus . Unywaji wa pombe ni hatari kwa afya za vijana wengi. Kidini upande wa uislam pombe ni haram

1.serikali ya Tanzania haina dini

2. Haramu ya dini si haramu ya serikali mfano dini zote mbili uislamu na ukristo zimekataza riba ila serikali inakopesha kwa riba Kwa hiyo kutangaza pombe kiserikali ni halali kama hiyo kampuni imesajiliwa na pombe zipo kwenye ubora stahiki bali kidini ni kharamu.

3. Kwenye unywaji wa pombe kuna kauli huwa wanatumia "kunywa kistaarabu".

4. Mpaka hapo mwijaku ataombwa atoe ushahidi wenye nguvu kabisa ku support alichoiambia jamii akishindwa basi kama mwanasheria alivyosema watapika damage aliyoipata jamaa kisha utabidi alipwe na pia mwijaku itabidi atoke mbele ya hadhara kisha amsafishe masoud .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…