Masoud Kipanya anafanya biashara gani hadi aendeshe magari ya kifahari? Mwenyewe amejibu..

Duh eti masoud kipanya ni mtoto mdogo..hela ndio zinafanya anaonekana mdogo..yule anaweza akawa anakaribia 45 kama sikosei..ambao kwa mtanzania wa kawaida kwa maisha ambayo hayana shule na ulihustle tangu enzi izo unatakiwa uwe na nyumba atleast tano na umeyapanga maBMW garage kwenye nyumba yako..

Achana na masoud kipanya..yule mtu ni ana akili ujapata kuona..alaf kaanza zamani sana at 90's anasikika kwenye media zaidi ya ruge..
 
Mkuu unawaibisha Wale wakata suruali wenzio.
Hivi mna nni nyie. .??
mnahisi mungu wa peke enu sio
 
Hata kama 46 bado mdogo kwangu. Ila kwako mkubwa.
 
Hata kama 46 bado mdogo kwangu. Ila kwako mkubwa.
Ndo ujishangae kwann hauna mambo makubwa kama yake.tena kama ungekua mkubwa kuliko yeye imekuaje humjui alipoanzia.maana unatakiwa uwe na zaidi ya vyake..maana me naamini kwa umri wake wa hustling ni sawa tu kuwa na vitu kama vile..tena me naona bado ni kawaida sana maana hummer hazina hata bei..

kwa jinsi alivyo na huslting anastahili zaidi..
Maana kipindi nyie mnakula bata wenzenu walikua wanafanya investment na kujinyima..
 
Huyu @figanigga kipindi cha jk inaonekana alikuwa anakula bata tu akasahau kufanya investment,
nakumbuka huyu alikuwa akituletea sana breaking news za state house,
saa hii deal limebuma,kageuka kuwa mzee wa busara,majungu kibao nini na nini.....

Lakini alikuaga member mstaarabu sana,
stress za kukosa hela bana...
 
Anza na Bashite
 
Ukiona mtu anamind magufuri jua alikuwa mpiga dili.......huyu nae anamind sana magufuri
 
Kuendesha tu magari ya kifahari mimi sina shaka kama angekuwa mlimiki labda ndio ningepata maswali ,
 
Mnatoa wapi muda wa kufuatilia maisha ya watu nyie au mnalipwa kwa kufanya hivyo?

Laiti ningekuwa na huo muda ningefuatilia yenu mnaofuatilia watu.
Ni dalili ufukara tu na umbea. Badala ya kujituma unaanza kufuatilia watu.
 
Watanzania ndo tuanchokiweza kuchunguza maisha ya wenzetu kama mleta Uzi
 
Hiyo gari (Hammer) alinunua kipindi ana project ya maisha plus...

Ile project ilimuingizia pesa nyingi sana...

Ila siku hizi hayupo vizuri kiuchumi hiyo gari nadhani amempa ndugu yake, inapaki sana maneno ya victoria ikishinda inatengenezwa...


Cc: mahondaw
 
Ana mambo na miradi mingi sana town;
1, Program ya maisha plus ilimpa hela nyingi
2, Katuni zake zinamuingizia hela kibao

Sasa mwenzangu na mm utegemee kamshahara ka scale E au D ufikirie kudrive Hummer?
Na madaraja yenyewe yamekwama!
 
Labda kashinda dabali tatu mzuka na biko ya Mheshimiwa Kajala
 
Mnatoa wapi muda wa kufuatilia maisha ya watu nyie au mnalipwa kwa kufanya hivyo?

Laiti ningekuwa na huo muda ningefuatilia yenu mnaofuatilia watu.
We mwenyewe umefuatilia huu uzi wa watu.
 
We mwenyewe umefuatilia huu uzi wa watu.

Mnatoa wapi muda wa kufuatilia maisha ya watu.

We mwenyewe umefuatilia huu uzi wa watu.

hakuna uhusiano kabisa kwenye hizo sentensi mbili labda ulzimishie ili uridhishe unachotaka.
 
Ukisikia umbea, unafiki, unafaru ndio huo kweli wewe unaacha kupambana na maisha yako unaanza kudiscuss watu duh kweli wewe snitch hufai hata kupelekwa nyumbani Kwa mtu. Unapenda kilasiku kumuona mtu anatembea kiatu kimelika upande mmoja?? Wewe hutakuja endelea utabaki kuuliza watu wanafanya nini kila siku jitume na huwezi kutajirika kwa kijiajira chako cha 1.5M gross salaries. Pambana na haliyako yakipanya mwachie mwenye fight na wewe uendeshe Magari ya kifahari sio kumuanzishia mwenzio majungu mtandaoni. Kama anafigisu vipo vyombo vya kiuchunguzi wanalipwa Kwa kazi hiyo
 
Kwa akili zako za majungu na chuki wee utakuwa zao la wale wanaomnadi mtulia achaguliwe kuwa mmbunge
 
Hivi kweli unakaa unaanza kuwaza huyu jamaa kwanini anaendesha magari mazuri badala ya kufikiria unatokaje hapo ulipo. Tena mtu mwenyewe mwenye mawazo haya una afya nzuri tu. SMH
 
Aliekwambia Masoud kipanya ni kijana mdogo nani...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…