Masoud Kipanya anafanya biashara gani hadi aendeshe magari ya kifahari? Mwenyewe amejibu..

Masoud Kipanya anafanya biashara gani hadi aendeshe magari ya kifahari? Mwenyewe amejibu..

Una hilo tu au masoud najua ana yard ya magari jangwani toto kanko kitu kama hichi lbda ww umekuja mjini juzi kutoka kolomije ndio.mnaofnya kumbi za stareh kutufungia saa 6
Tuambie afanya biashara gani? Mtaji alipata wapi? Je biashara hizo zaendeshwa kwa kufuata sheria? Umesema kumbi za disco zafungwa saa 6 nakwambia hizo zinazofungwa hivyo sio kumbi rasmi. Kumbi rasmi zina leseni ya kukesha na zina viwambo vya kunyonya sauti
 
Habari yanu wakuu,
451e568b551fb912713d1d546e48f261.jpg

Mimi nmeanzisha hii thread kutaka kujua ni biashara gani huyu Masoud Kpanya anafanya Mjini Dar. Haiwezekani mtoto mdogo awe anaendesha magari ya kifahari kwa kipato cha kuchora Katuni za Mwananchi.

Juzi kati alinipita na gari la kifahari nikajaribu kumpiga picha akaniacha alikuwa speed. Sasa leo nmemuona nikamzoom nikamfutoa kwa mbali.

Je katuni zinalipa kiasi hicho? Au naye ana wafadhili? Mbona hajioneshi kama anahela za kununua magari ya kifisadi?

Mwenye kujua katoa wapi hela. Au Mambosasa amuite amhoji tujue.
Katuni inawezekana ndo imemtambulisha tukamjua ila biashara zake nyingine na uwekezaji zaidi anaweza kuwa navyo mkuu!
 
[emoji4] fanya yako tu,kesho utakuja kusema na mimi nafanya biashara gan
 
Habari yanu wakuu,
451e568b551fb912713d1d546e48f261.jpg

Mimi nmeanzisha hii thread kutaka kujua ni biashara gani huyu Masoud Kpanya anafanya Mjini Dar. Haiwezekani mtoto mdogo awe anaendesha magari ya kifahari kwa kipato cha kuchora Katuni za Mwananchi.

Juzi kati alinipita na gari la kifahari nikajaribu kumpiga picha akaniacha alikuwa speed. Sasa leo nmemuona nikamzoom nikamfutoa kwa mbali.

Je katuni zinalipa kiasi hicho? Au naye ana wafadhili? Mbona hajioneshi kama anahela za kununua magari ya kifisadi?

Mwenye kujua katoa wapi hela. Au Mambosasa amuite amhoji tujue.
Umesema Masoud Kipanya ni mtoto mdogo??? Hivi pale alipo na 37-40 bado ni mdogo?

Watu wana-hustle aisee, Ww km hujaweza kumilili Mali za kifahari shauri zako, utaendelea kuwafukuzia wenzio uwapige picha mpaka uote vigimbi!
 
Kuendesha gari sio utajiri.Au kuishi kwenye jumba la kifahari sio utajiri pia.
 
Tatizo mmezoea watoto hawa wenye makeke wakinunua tu Noah wanaweka matangazo ila kaa ukijua KP mpiganaji kitambo sana na hizi sarafu ameanza kuzishika muda waulize tu watoto wa mjini watakuambia jamaa ana uthubutu sana kwenye biashara zake.
 
Work hard you'll be rewarded. Majungu hayakuongezei senti tano.
 
Tuambie afanya biashara gani? Mtaji alipata wapi? Je biashara hizo zaendeshwa kwa kufuata sheria? Umesema kumbi za disco zafungwa saa 6 nakwambia hizo zinazofungwa hivyo sio kumbi rasmi. Kumbi rasmi zina leseni ya kukesha na zina viwambo vya kunyonya sauti
Tafakari jadidi hawa watoto wa mjini wamerithi nyumba za wazazi wao kkoo wakaziuza kwa bei nzuri usishandano nao
 
Na Nina mashaka huyu Masoud atakuwa na pesa nyingi kuliko serikali[emoji16][emoji3][emoji16][emoji16] revenue authorities kazi kwenu,mtu wenu Huyo?
 
Back
Top Bottom