Masoud Kipanya anafanya biashara gani hadi aendeshe magari ya kifahari? Mwenyewe amejibu..

Masoud Kipanya anafanya biashara gani hadi aendeshe magari ya kifahari? Mwenyewe amejibu..

Juzi kati alinipita na gari la kifahari nikajaribu kumpiga picha akaniacha alikuwa speed. Sasa leo nmemuona nikamzoom nikamfutoa kwa mbali.

Je katuni zinalipa kiasi hicho? Au naye ana wafadhili? Mbona hajioneshi kama anahela za kununua magari ya kifisadi?

Mwenye kujua katoa wapi hela. Au Mambosasa amuite amhoji tujue.
KUMCHUKIA TAJIRI HAKUKUFANYI UWE TAJIRI!!

Yeye anakipaji wewe una nini?
 
Mnatoa wapi muda wa kufuatilia maisha ya watu nyie au mnalipwa kwa kufanya hivyo?

Laiti ningekuwa na huo muda ningefuatilia yenu mnaofuatilia watu.
kuwa mpole mate mambo mengi yalianzia hapa
 
Mbona uniulizi mimi nime patia wapi hizi helaa?? Watu wengine banaa...
 
Habari yanu wakuu,
451e568b551fb912713d1d546e48f261.jpg

Mimi nmeanzisha hii thread kutaka kujua ni biashara gani huyu Masoud Kpanya anafanya Mjini Dar. Haiwezekani mtoto mdogo awe anaendesha magari ya kifahari kwa kipato cha kuchora Katuni za Mwananchi.

Juzi kati alinipita na gari la kifahari nikajaribu kumpiga picha akaniacha alikuwa speed. Sasa leo nmemuona nikamzoom nikamfutoa kwa mbali.

Je katuni zinalipa kiasi hicho? Au naye ana wafadhili? Mbona hajioneshi kama anahela za kununua magari ya kifisadi?

Mwenye kujua katoa wapi hela. Au Mambosasa amuite amhoji tujue.
f396f382faf774b9e995e97fddee8d40.jpg
 
Acha wivu wa kijoyce kiria wewe. Chora vikatuni na wewe uendeshe mkoko wa maana.,town hapa.
 
Hummer siyo gari ya kifahari kihivyo, kama ukiweza kununua RAV2 unaweza pia kununua Hummer iliyotumika, na kuiwekea Mafuta siyo ishu unaweza kuitumia mara 2 kwa wiki!
Ina weza isiwe gari ya kifahari lakini ikawa gari ghali ana Hammer H3, yeye ndiye Celeb anae tumia gari ya gharama kuliko wote Tz kwa Taarifa za mwaka wa jana.
 
Ila yeye anawashwa na kuchora.
Biashara yake pale komakoma kwani haijulikani.
Kipindi yupo na mchepuo wake Nagris Mohamedi aka Pani.
Nadhani mkuu hizi ni chuki binafsi tuu si hammer
 
Ana mambo na miradi mingi sana town;
1, Program ya maisha plus ilimpa hela nyingi
2, Katuni zake zinamuingizie hela kibao
3, Ni moja ya watangazaji ghali tz
4, Amewekeza kwenye kilimo pia
Sasa mwenzangu na mm utegemee kamshahara ka scale E au D utegemee kudrive Hammer?
Na isitoshe mjin kichwa chako ndo kila kitu chako.
 
Habari yanu wakuu,
451e568b551fb912713d1d546e48f261.jpg

Mimi nmeanzisha hii thread kutaka kujua ni biashara gani huyu Masoud Kpanya anafanya Mjini Dar. Haiwezekani mtoto mdogo awe anaendesha magari ya kifahari kwa kipato cha kuchora Katuni za Mwananchi.

Juzi kati alinipita na gari la kifahari nikajaribu kumpiga picha akaniacha alikuwa speed. Sasa leo nmemuona nikamzoom nikamfutoa kwa mbali.

Je katuni zinalipa kiasi hicho? Au naye ana wafadhili? Mbona hajioneshi kama anahela za kununua magari ya kifisadi?

Mwenye kujua katoa wapi hela. Au Mambosasa amuite amhoji tujue.
Kwanini huo mda unaotumia kumchunguza Masoud,,usiutumie kufanya mambo yako ya msingi,,kwanini kila siku ni sisi waafrika
 
Habari yanu wakuu,
451e568b551fb912713d1d546e48f261.jpg

Mimi nmeanzisha hii thread kutaka kujua ni biashara gani huyu Masoud Kpanya anafanya Mjini Dar. Haiwezekani mtoto mdogo awe anaendesha magari ya kifahari kwa kipato cha kuchora Katuni za Mwananchi.

Juzi kati alinipita na gari la kifahari nikajaribu kumpiga picha akaniacha alikuwa speed. Sasa leo nmemuona nikamzoom nikamfutoa kwa mbali.

Je katuni zinalipa kiasi hicho? Au naye ana wafadhili? Mbona hajioneshi kama anahela za kununua magari ya kifisadi?

Mwenye kujua katoa wapi hela. Au Mambosasa amuite amhoji tujue.
a
Yani vijana tunavyojituma hadi tunaajiriwa na waajiri watatu kwa Siku unakuja kuuliza matunda tuliyonayo yametokana na ajira ipi?
Hiyo ndiyo tofauti kati ya kudesa na vipaji binafsi.nyambafuuuuuuuuuuu!
 
Mtoa Mada kweli unatumika ,Fanya kazi acha hizi uvivu ,mtumie kipanya km challenge ya wewe kufikia alipo
 
Back
Top Bottom