Boutafrica
JF-Expert Member
- Dec 11, 2014
- 974
- 2,106
Mawazo ya kifukara sana.....we unadhan kila mwanamke ni wa kuchabangwa tu?akiwa na mke wa kwanza....
mke wa pili watatu na wanne wanakamuliwa
akienda kwa wa pili.... wa kwanza, watatu na wa nne wanakamuliwa
akienda kwa watatu: wa kwanza, wa pili na wanne wanakamuliwa
akienda kwa wa nne: wa kwanza, wa pili, na wa tatu watakamuliwa
halafu wakeze walivyo pisi sasa......
kuna watu watafaidi sambamba nae.......
NB
ni mtazamo wangu, povu kafulieni nguo
Unafananisha hali yako na ya kipanya?Halafu tunalalamika kwanini Sisi ni maskini.
Bado wadogo hao, na wengi Ni below 30 wanaongea kwa mihemkoTutake radhi mkuu.
Above 50 ndio mpango.
Ukifika utaelewa!
Wewe bado hujakua , unamitazamo ya kitoto Sana , Kama mtoto Wa darasa LA piliakiwa na mke wa kwanza....
mke wa pili watatu na wanne wanakamuliwa
akienda kwa wa pili.... wa kwanza, watatu na wa nne wanakamuliwa
akienda kwa watatu: wa kwanza, wa pili na wanne wanakamuliwa
akienda kwa wa nne: wa kwanza, wa pili, na wa tatu watakamuliwa
halafu wakeze walivyo pisi sasa......
kuna watu watafaidi sambamba nae.......
NB
ni mtazamo wangu, povu kafulieni nguo
Umasikini huoWengi humfahamu kwa jina la Masoud Kipanya, lakini hilo si jina lake halisi, tunaweza kusema hilo ni jina lake la sanaa kwani limetokana na na katuni za Kipanya ambazo huwa anachora.
Jina lake ni Ali Masoud, jina la Kipanya ni matokeo ya katuni ya Kipanya aliyoibuni zaidi ya miaka 28 iliyopita. Alizaliwa tareha 23 Juni 1972 jijini Dar es salaam.
Kipanya alianza kuchora katuni akiwa darasa la pili, na alianza kwa kuiga tu katuni za ndani na za nje kama ilivyo kawaida kwa yoyote anayeanza kufanya kitu, ila ‘professionally’ alianza rasmi mwaka 1988, huo ndio mwaka ambao katuni yake ya kwanza ilitoka katika gazeti la Heko.
Hatimaye kapata mke wa nne
View attachment 2091463
View attachment 2091464
View attachment 2091465
View attachment 2091466
Wanawake wana kazi sana, huyo dada anatabasamu pamoja na kuolewa mke wa nne, kweli tumetofautianaWengi humfahamu kwa jina la Masoud Kipanya, lakini hilo si jina lake halisi, tunaweza kusema hilo ni jina lake la sanaa kwani limetokana na na katuni za Kipanya ambazo huwa anachora.
Jina lake ni Ali Masoud, jina la Kipanya ni matokeo ya katuni ya Kipanya aliyoibuni zaidi ya miaka 28 iliyopita. Alizaliwa tareha 23 Juni 1972 jijini Dar es salaam.
Kipanya alianza kuchora katuni akiwa darasa la pili, na alianza kwa kuiga tu katuni za ndani na za nje kama ilivyo kawaida kwa yoyote anayeanza kufanya kitu, ila ‘professionally’ alianza rasmi mwaka 1988, huo ndio mwaka ambao katuni yake ya kwanza ilitoka katika gazeti la Heko.
Hatimaye kapata mke wa nne
View attachment 2091463
View attachment 2091464
View attachment 2091465
View attachment 2091466
[emoji3][emoji3][emoji3]Jumatatu. jumanna. Jumatano. Alhamis. Ijumaa.....ratiba nzuri kabisa hii. Sasa Kuna mtu ana mke mmoja tu lakini kutwa nzima kulalamika hapa JF.
Watakwambia kwa sababu ya ccmHalafu tunalalamika kwanini Sisi ni maskini.
Kasema hivii hutosheki na mmoja,una uhakika ukipewa 10 utatosheka?.. ndoa sio sex peke yake, ndoa ipo kuanzisha familia, kuanzisha familia na wake wanne utapata wapi nafasi ya kulea wanao vyema? ,,,ningekua nina akili za kusoma ningependa kujua watoto wa ndoa za mitala malezi yao yanakuwaje? Je hawaathiriki kisaikolojia na huu mfumo?Hakuna mwanaume aliwahi ridhika na uke mmoja,
Hata wee pia ulieoa MKE mmoja, kama kweli umekamilika kimaumbile na kihisia.
Uko nje bila shaka unao wawili Hadi watatu unachepuka nao kisirisiri.
Vinginevyo utwambie maumbile yako yana mapungufu kibaiolojia[emoji4]
Ni lazimaKwahyo kila siku lazima aache hela ya matumiz kwa wote?
Labda kama kaoa kutimiza matakwa ya dini yake ya uislam. Nakwambia kutoa huduma za kitandani ni kazi ngumu kwake. Atasaidiwa tu. Sema na hawa dada zetu nao hamnazo. Unaendaje kuolewa na mzee kama yule? Kwa hali ya kawaida watoto watakaozaliwa watakuwa yatima muda si mrefu. Masudi afurukute miaka 20 mbele tena na hio mzigo aliojibebesha!? Anawakati mgumu sana.Tutake radhi mkuu.
Above 50 ndio mpango.
Ukifika utaelewa!
Ni lazima
Ina maana kipanya mwaka huu anatimiza miaka 50[emoji15] aiseee hafananii na umri huo