ITEGAMATWI
JF-Expert Member
- Jan 26, 2012
- 5,340
- 4,086
Ni mke wa pili huyu au wanne?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16][emoji16][emoji16]Kipanya anatuchorea makatuni magumu.Sisi tunahangaika kutafsiri yeye anaoa tu.
Kwani Sulemani alikuwa dini gani?Kwahiyo Mfalme Suleiman na hekima zake zote alikuwa anazini?
Alikuwa na wake 700 na masulia 300.
Atakuwa anapiga kimoja anakimbilia sebuleni.. hahahahaaaBig mistake. Kwa umri alionao kipanya 50 wallah bed perfomance ipo low sana. Na ukute huyo mke ni under 35 jasho litamtoka. Atoe huduma kwa nyumba nne! Wallah lazima apewe tough na masela.
Zingatia matunzo yao tu sio kuiga kuoa tuSafi sana kwakweli na mm nitaiga hii
Punguza wivuakiwa na mke wa kwanza....
mke wa pili watatu na wanne wanakamuliwa
akienda kwa wa pili.... wa kwanza, watatu na wa nne wanakamuliwa
akienda kwa watatu: wa kwanza, wa pili na wanne wanakamuliwa
akienda kwa wa nne: wa kwanza, wa pili, na wa tatu watakamuliwa
halafu wakeze walivyo pisi sasa......
kuna watu watafaidi sambamba nae.......
NB
ni mtazamo wangu, povu kafulieni nguo
Umewaita, sasahivi wanakuja na mabomu yaoHakuna kero yoyote ya kuoa mke mmoja. Uislamu unapenda zinaa ndio maana ni dini ya kishetani. Sio dini mambo yake mengi ni ushetani tuu. Kupiga ramli, jihad, majini yaani ushetani hasa. Ukimchoka mke unamuacha tu Kwa talaka unaoa mwingine tena rafiki wa mke wako. Ushetani haswa huu. Kipanya hapo ni mke wa tano. Kuna dini hapo. Someni kitabu haya za kishetani mtaona.
UISLAMU SIO DINI YA MUNGU.
Ni dini yako?Hakuna kero yoyote ya kuoa mke mmoja. Uislamu unapenda zinaa ndio maana ni dini ya kishetani. Sio dini mambo yake mengi ni ushetani tuu. Kupiga ramli, jihad, majini yaani ushetani hasa. Ukimchoka mke unamuacha tu Kwa talaka unaoa mwingine tena rafiki wa mke wako. Ushetani haswa huu. Kipanya hapo ni mke wa tano. Kuna dini hapo. Someni kitabu haya za kishetani mtaona.
UISLAMU SIO DINI YA MUNGU.
Unatamani iwe kweli [emoji1787][emoji1787]wala sio wivu
ndio ukweli wenyewe!!!
Umeandika point kubwa sanaHata akiwa mkoja bado wahuni wanapita nae tu.
kikubwa ni msimamo wa mtu.
Jamaniii 🤣Michepuko inavyolazimisha ndoa ni balaa
Hakuna mwanaume anaependa kuhangaika hiv
Uki soma vitabu vya Mfalume Suleiman uta ana sema kabisa yote aliyo fanya ni "utupu na kujilisha upepo" yani ana juta, ana hakuona faida yoyote ya kua na wake wengi.Kwahiyo Mfalme Suleiman na hekima zake zote alikuwa anazini?
Alikuwa na wake 700 na masulia 300.
Kivipi? Mazingira yanafanyaje suala la kuoa mke zaidi ya mmoja kwa Waislam lisiwezekane?Hizo ni tamaa tu hata kama dini inalihusu lakin mazingira yamebadilika
Hao vijana sio viigizo vyetu katika Dini yetu. Viigizo vyetu sisi ni Mtume (Swalla Allahu 'Alayhi Wa Aalihi Wa Sallam) na Maswahaba zake (Salaf).Hata Huko Uarabuni vijana wengi wa huko Sasa hivi wanaoa mwanamke mmoja tu
Elezea kivipi?.Kuoa wanawake wengi ni migogoro katika familia
Kwahiyo Mtu asiifuate dini yake inavyomfundisha kwa kuhofia jamii (ambayo ndani yake pia kuna watu wasio katika dini yake). Masoud Kipanya kufanya hivi ni mfano mzuri kwa Waislam wanaofuata Dini. Wewe kama sio Muislam subiri afungue Kampuni umsifu. Suala la Dini yake halikuhusu.Sawa ana uwezo wa kuwahudumia na ni maisha yake lakini sio mfano wa kuigwa katika jamaii .Ingekua vizuri Sana nisikie Kipanya kafungua kampuni na sio kuongeza mke wa nne.
Waarabu wa sasa sio kiigizo katika Dini. Tayari Waislam Duniani kote wana wa kuwaiga katika kuifuata Dini. Hao Waarabu wako pia wanatakiwa waige mfano wa Salaf. Kama hawafanyi hivyo basi ni wao wanazembea kama vile tunavyozembea baadhi yetu sisi.Ni kweli lakini kumbuka mazingira yamebadilika sio kama ya wakati huo. Leo hii warabu wengi ambao ni waisalam wanaoa mwanamke mmoja tu vp hujiulizi ni kwa nini? Nyakati za manabii wanawake walikua ni kwa ajili ya kuwahudumia wanaume wao tu na kipindi hicho mfumo dime tu ndo ilikuwepo lakini Leo hii Kuna kitu kinaitwa haki sawa vipi huoni ni kutafuta matatizo tu?