Hakika Kipanya ameongea ukweli halisi na ni tatizo kubwa linalotukabili hapa Tanzania.Kwanza hatuna muongozo halisi wa kuwapata viongozi .Watu wengi ambao hawana sifa za uongozi ,na hawana vision yeyote ndio wanachaguliwa kuwa viongozi ,kwa kuwa tu ni watoto wa viongozi wa Zamani au ni Wana ccm.Mm narudi nyuma kuwa tunaendelea kupoteza dira kwa kuwa marehemu Nyerere hakuandaa dira yetu.Nguli wa vibonzo, ndugu Masoud Kipanya amedai tatizo kubwa la Viongozi ni ufupi na ni lazima sasa tuhitaji Viongozi warefu.
'...unakuta raia unalalamika kwa jambo fulani ajabu kwalo Kiongozi naye analalamikia hilohilo kitu ambacho kinaondoa utofauti wa Muongozwa na Kiongozi.'
'....ni muda sasa tupate Viongozi warefu na si wafupi wa kila kitu kama waliopo sasa.'
Kipanya.
View attachment 2427592