Masoud Kipanya: Viongozi wetu ni wafupi

Masoud Kipanya: Viongozi wetu ni wafupi

Nguli wa vibonzo, ndugu Masoud Kipanya amedai tatizo kubwa la Viongozi ni ufupi na ni lazima sasa tuhitaji Viongozi warefu.

'...unakuta raia unalalamika kwa jambo fulani ajabu kwalo Kiongozi naye analalamikia hilohilo kitu ambacho kinaondoa utofauti wa Muongozwa na Kiongozi.'

'....ni muda sasa tupate Viongozi warefu na si wafupi wa kila kitu kama waliopo sasa.'

Kipanya.
View attachment 2427592
Kaongea point kabisa. viongozi badala ya kutatua matatizo naye analalamika kama mwananchi wa kawaida. That is stupid
 
Nguli wa vibonzo, ndugu Masoud Kipanya amedai tatizo kubwa la Viongozi ni ufupi na ni lazima sasa tuhitaji Viongozi warefu.

'...unakuta raia unalalamika kwa jambo fulani ajabu kwalo Kiongozi naye analalamikia hilohilo kitu ambacho kinaondoa utofauti wa Muongozwa na Kiongozi.'

'....ni muda sasa tupate Viongozi warefu na si wafupi wa kila kitu kama waliopo sasa.'

Kipanya.
View attachment 2427592
Very bright ndiomana alipewa kipaya Cha kuchora katuni
 
Nguli wa vibonzo, ndugu Masoud Kipanya amedai tatizo kubwa la Viongozi ni ufupi na ni lazima sasa tuhitaji Viongozi warefu.

'...unakuta raia unalalamika kwa jambo fulani ajabu kwalo Kiongozi naye analalamikia hilohilo kitu ambacho kinaondoa utofauti wa Muongozwa na Kiongozi.'

'....ni muda sasa tupate Viongozi warefu na si wafupi wa kila kitu kama waliopo sasa.'

Kipanya.
View attachment 2427592
We jamaa!

Ina Maana Bashiru ni mrefu sio!!?

Kuliko HUYU!?

Unataka kusemaje wewe!?
 
Too general statiment
Mtu akitoa sentensi kama hizi maana yake anajificha nyuma ya tasfida na hapo ni kukwepa uwajibikaji na uwezo mdogo wa kuwa wazi na kunyooka kwenye hoja
Sasa viongozi wafupi ni akina nani? Watajwe
Kama umeshindwa kumwelewa Kipanya..basi umebakiwa na akili ya kula chakula tu!
 
Masoud katoa mfano rahisi wa Twiga( mrefu) na wanyama wengine( wafupi)..kushindwa kuelewa hapo lazima uwe mgonjwa wa akili..
 
"Eti raia wanalalamika viongozi nao wanalalamika" ni kweli yake Masoud hii huikuti Nchi nyingine yeyote Duniani 😂
 
Too general statiment
Mtu akitoa sentensi kama hizi maana yake anajificha nyuma ya tasfida na hapo ni kukwepa uwajibikaji na uwezo mdogo wa kuwa wazi na kunyooka kwenye hoja
Sasa viongozi wafupi ni akina nani? Watajwe
Nyooka wewe basi
 
Too general statiment
Mtu akitoa sentensi kama hizi maana yake anajificha nyuma ya tasfida na hapo ni kukwepa uwajibikaji na uwezo mdogo wa kuwa wazi na kunyooka kwenye hoja
Sasa viongozi wafupi ni akina nani? Watajwe
Kama huelewi toka humu jamii forum maana huna AKILI na umejiingiza kwenye home of great thinkers toka haraka sana kabla haujaehuka maana hapa ni mahali pa watu wenye akili.
 
Kipanya anachojaribu kuzungumza katumia mtazamo wa falsafa kuangalia uwezo wa viongozi wanaotuongoza wengi kama sio wote sio visionary na hawawezi kuforesee au hawana uwezo wa kutatua matatizo ya wananchi yaani mwananchi analia maji au umeme na kiongozi hana jawabu lolote juu ya matatizo ya wananchi wake yaani kiongozi anakua kilaza kama vilaza wengine, kwani haujawahi kuona majibu ya viongozi wetu hadi unajiuliza huyu alikuaje kiongozi? Kwahiyo tunapaswa kua na viongozi wenye mitazamo ya mbele wenye fikra za mbali sana yaani utabiri wa mwaka huu unasema mvua zitakua chache lakini hujamuona kiongozi yoyote akijaribu kuhamasisha watu wapande mazao ya muda mfupi na yale yanayohimili ukame, yaani kiongozi nae anategemea kudra za Mwenyezi Mungu ili kutatua matatizo ya anaowaongoza
100% sure
 
Hapo ujue huyu mtu ni mwoga hata kama ukimuuliza kile kile alichokimaanisha anaruka. Mtu kama huyu anaishi kama dugidigi .hajiamini
 
Back
Top Bottom