Masoud Kipanya: Viongozi wetu ni wafupi

Masoud Kipanya: Viongozi wetu ni wafupi

Nguli wa vibonzo, ndugu Masoud Kipanya amedai tatizo kubwa la Viongozi ni ufupi na ni lazima sasa tuhitaji Viongozi warefu.

'...unakuta raia unalalamika kwa jambo fulani ajabu kwalo Kiongozi naye analalamikia hilohilo kitu ambacho kinaondoa utofauti wa Muongozwa na Kiongozi.'

'....ni muda sasa tupate Viongozi warefu na si wafupi wa kila kitu kama waliopo sasa.'

Kipanya.
View attachment 2427592
Naunga mkono hoja
P
 
Kipanya wala hajamumunya maneno ni wazi kabisa, sisi tunahitaji kiongozi anayesema nataka kuiona Tz kesho pale nyinyi kazi yenu kuja na mipango tutafika vipi pale na mimi nitawawezesha mkija na mipango ya kufika. Kuna nyumba mama kisha panga kesho chakula kitakuwa kipi na kuna wengine akiamka hajajuwa leo mchana tutakula nini ndio Tz hatujui tunataka nini tunaishi kwa kushukuru tu tumeamka salama.
 
Too general statiment
Mtu akitoa sentensi kama hizi maana yake anajificha nyuma ya tasfida na hapo ni kukwepa uwajibikaji na uwezo mdogo wa kuwa wazi na kunyooka kwenye hoja
Sasa viongozi wafupi ni akina nani? Watajwe
Kipanya anatumia fani yake kuongea. Ktk jamii yenye tatizo, kumkabili mtu personally hiyi attack hairuhusiwi. Lengo ni ufumbuzi wa tatizo sio kutengeneza tatizo kwa kumkabili mtu personally. Nadhani ujumbe wa kipanya unalenga kulionyesha tatizo kisha litafutiwe ufumbuzi kwa njia sahihi. Wewe hicho unachotaka cha kutaja majina. Taja wewe. Lakini kwa alivyongea mbona majina yatakuwa mengi maana yataanzia ngazi ya mtaa!! Nampongeza kipanya kwa kuliweka kiujumla na lipo kwa ujumla wake.
 
Mbele ya lile jitu nani angeweza kusema ngw'e!!!! Walioweza ni wawili tu nchi mzima Lissu na Sheikh Ponda wengine woooote nyongo zilikua zinatumbukia tu tumboni tukiwa kimya
Hao ni waliopo. Wasiokuwepo umewasahau. Ila tusijadili watu tujadili hoja. Ivi kwa mfano. Ajali. Imetokea, watu wana majeraha kila mahali na wanatokwa damu ajabu! Je, ni sahihi daktari nae kushangaa badala ya kutibu? Wanasiasa watuokoe kwa hoja na vitendo badala ya kuanza kushikana machoni na kutiana upofu ili aliekwaza mwingine eti asiione mbele yake. Tunaoumia ni walala hoi. Wajitahidi kufanyia kazi hoja zinazoibuka kwa salama yetu na salama yao. Hivi ipo haja gani ya mtu kujilimbikia pesa ktk jamii inayotafunwa na utitiri. Utitiri ipo siku utakufikia tu. Hata kama ni kizazi chako cha tisa. Tujenge nchi tusijenge nafsi zetu tukidhani tuko mtini mafuriko yalipo ardhini hayatufikii wakati miti imeota chini kuliko ma maji. Mizizi ikioza utashuka kwa kishindo hadi tulioko majini tutakushangaa. Tuijenge Tanzania kwa kuukwepa UKOLONI MAMBOLEO. Mbona tulifundishwa ktk siasa na historia! Ni vipi leo hatuuoni, unaingia tu mdogomdogo. Hayaa, kama naishi bado, yangu macho.
 
Nguli wa vibonzo, ndugu Masoud Kipanya amedai tatizo kubwa la Viongozi ni ufupi na ni lazima sasa tuhitaji Viongozi warefu.

'...unakuta raia unalalamika kwa jambo fulani ajabu kwalo Kiongozi naye analalamikia hilohilo kitu ambacho kinaondoa utofauti wa Muongozwa na Kiongozi.'

'....ni muda sasa tupate Viongozi warefu na si wafupi wa kila kitu kama waliopo sasa.'

Kipanya.
View attachment 2427592
 

Attachments

  • 1B7E47C4-EB82-442F-AA7F-EB2EBAFFBC95.jpeg
    1B7E47C4-EB82-442F-AA7F-EB2EBAFFBC95.jpeg
    27.4 KB · Views: 4
Nguli wa vibonzo, ndugu Masoud Kipanya amedai tatizo kubwa la Viongozi ni ufupi na ni lazima sasa tuhitaji Viongozi warefu.

'...unakuta raia unalalamika kwa jambo fulani ajabu kwalo Kiongozi naye analalamikia hilohilo kitu ambacho kinaondoa utofauti wa Muongozwa na Kiongozi.'

'....ni muda sasa tupate Viongozi warefu na si wafupi wa kila kitu kama waliopo sasa.'

Kipanya.
View attachment 2427592
  1. Kingo analizungumziaje hili
  2. Vipi Kabwela ana hoja ya kujazia au kupunguza
 
Sijui urefu una maana gani lakini ukiwa futi 5 kushuka huwezi kuchaguliwa kuwa rais wa Marekani...Mgombea Michael Dukakis alikuwa mahiri lakini alishindwa uchaguzi kwa sababu ya ufupi wake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye mgao wa maji, kiongozi wa wilaya nae alikua nalalamika kua hata kwake hakuna maji.

Unapotarajia kupata msaada nae anapitia kama yako na hana la kufanya, walau hata akufariji nae anapigilia msumari.

Wakihojiwa hawana la kusema zaidi ya "anaupiga mwingi".
 
Nguli wa vibonzo, ndugu Masoud Kipanya amedai tatizo kubwa la Viongozi ni ufupi na ni lazima sasa tuhitaji Viongozi warefu.

'...unakuta raia unalalamika kwa jambo fulani ajabu kwalo Kiongozi naye analalamikia hilohilo kitu ambacho kinaondoa utofauti wa Muongozwa na Kiongozi.'

'....ni muda sasa tupate Viongozi warefu na si wafupi wa kila kitu kama waliopo sasa.'

Kipanya.
View attachment 2427592
Na yeye atuambie vile vibajaji alivyozindua vimefikia wapi??
 
Too general statiment
Mtu akitoa sentensi kama hizi maana yake anajificha nyuma ya tasfida na hapo ni kukwepa uwajibikaji na uwezo mdogo wa kuwa wazi na kunyooka kwenye hoja
Sasa viongozi wafupi ni akina nani? Watajwe
Una upeo mdogo sana omba radhi hata hujasikiliza clip hio. Watanzania huu umbulula mmeumbwaje?hujaelewa nini? Wewe hakika ni zombi kichwani
 
Kipanya anachojaribu kuzungumza katumia mtazamo wa falsafa kuangalia uwezo wa viongozi wanaotuongoza wengi kama sio wote sio visionary na hawawezi kuforesee au hawana uwezo wa kutatua matatizo ya wananchi yaani mwananchi analia maji au umeme na kiongozi hana jawabu lolote juu ya matatizo ya wananchi wake yaani kiongozi anakua kilaza kama vilaza wengine, kwani haujawahi kuona majibu ya viongozi wetu hadi unajiuliza huyu alikuaje kiongozi? Kwahiyo tunapaswa kua na viongozi wenye mitazamo ya mbele wenye fikra za mbali sana yaani utabiri wa mwaka huu unasema mvua zitakua chache lakini hujamuona kiongozi yoyote akijaribu kuhamasisha watu wapande mazao ya muda mfupi na yale yanayohimili ukame, yaani kiongozi nae anategemea kudra za Mwenyezi Mungu ili kutatua matatizo ya anaowaongoza
Unaumiza kichwa kumjibu huyo ana upeo mdogo sana wa kidwanzi ana mapepo amaezoea maghettoni Kwa popo bawa na mitumbwi ya vibwengo
 
Back
Top Bottom