henry frank
Member
- Dec 16, 2015
- 72
- 49
Kaongea point kabisa. viongozi badala ya kutatua matatizo naye analalamika kama mwananchi wa kawaida. That is stupidNguli wa vibonzo, ndugu Masoud Kipanya amedai tatizo kubwa la Viongozi ni ufupi na ni lazima sasa tuhitaji Viongozi warefu.
'...unakuta raia unalalamika kwa jambo fulani ajabu kwalo Kiongozi naye analalamikia hilohilo kitu ambacho kinaondoa utofauti wa Muongozwa na Kiongozi.'
'....ni muda sasa tupate Viongozi warefu na si wafupi wa kila kitu kama waliopo sasa.'
Kipanya.
View attachment 2427592
Very bright ndiomana alipewa kipaya Cha kuchora katuniNguli wa vibonzo, ndugu Masoud Kipanya amedai tatizo kubwa la Viongozi ni ufupi na ni lazima sasa tuhitaji Viongozi warefu.
'...unakuta raia unalalamika kwa jambo fulani ajabu kwalo Kiongozi naye analalamikia hilohilo kitu ambacho kinaondoa utofauti wa Muongozwa na Kiongozi.'
'....ni muda sasa tupate Viongozi warefu na si wafupi wa kila kitu kama waliopo sasa.'
Kipanya.
View attachment 2427592
Huo ni ubaguzi wa wazi kabisa.Kwani "sisi" watu wafupi tuna shida gani?ππππSijui urefu una maana gani lakini ukiwa futi 5 kushuka huwezi kuchaguliwa kuwa rais wa Marekani...Mgombea Michael Dukakis alikuwa mahiri lakini alishindwa uchaguzi kwa sababu ya ufupi wake
Sent using Jamii Forums mobile app
We jamaa!Nguli wa vibonzo, ndugu Masoud Kipanya amedai tatizo kubwa la Viongozi ni ufupi na ni lazima sasa tuhitaji Viongozi warefu.
'...unakuta raia unalalamika kwa jambo fulani ajabu kwalo Kiongozi naye analalamikia hilohilo kitu ambacho kinaondoa utofauti wa Muongozwa na Kiongozi.'
'....ni muda sasa tupate Viongozi warefu na si wafupi wa kila kitu kama waliopo sasa.'
Kipanya.
View attachment 2427592
Kama umeshindwa kumwelewa Kipanya..basi umebakiwa na akili ya kula chakula tu!Too general statiment
Mtu akitoa sentensi kama hizi maana yake anajificha nyuma ya tasfida na hapo ni kukwepa uwajibikaji na uwezo mdogo wa kuwa wazi na kunyooka kwenye hoja
Sasa viongozi wafupi ni akina nani? Watajwe
Nyooka wewe basiToo general statiment
Mtu akitoa sentensi kama hizi maana yake anajificha nyuma ya tasfida na hapo ni kukwepa uwajibikaji na uwezo mdogo wa kuwa wazi na kunyooka kwenye hoja
Sasa viongozi wafupi ni akina nani? Watajwe
Kama huelewi toka humu jamii forum maana huna AKILI na umejiingiza kwenye home of great thinkers toka haraka sana kabla haujaehuka maana hapa ni mahali pa watu wenye akili.Too general statiment
Mtu akitoa sentensi kama hizi maana yake anajificha nyuma ya tasfida na hapo ni kukwepa uwajibikaji na uwezo mdogo wa kuwa wazi na kunyooka kwenye hoja
Sasa viongozi wafupi ni akina nani? Watajwe
Akili zipi!?Kipanya ana akili nyingi sana....
100% sureKipanya anachojaribu kuzungumza katumia mtazamo wa falsafa kuangalia uwezo wa viongozi wanaotuongoza wengi kama sio wote sio visionary na hawawezi kuforesee au hawana uwezo wa kutatua matatizo ya wananchi yaani mwananchi analia maji au umeme na kiongozi hana jawabu lolote juu ya matatizo ya wananchi wake yaani kiongozi anakua kilaza kama vilaza wengine, kwani haujawahi kuona majibu ya viongozi wetu hadi unajiuliza huyu alikuaje kiongozi? Kwahiyo tunapaswa kua na viongozi wenye mitazamo ya mbele wenye fikra za mbali sana yaani utabiri wa mwaka huu unasema mvua zitakua chache lakini hujamuona kiongozi yoyote akijaribu kuhamasisha watu wapande mazao ya muda mfupi na yale yanayohimili ukame, yaani kiongozi nae anategemea kudra za Mwenyezi Mungu ili kutatua matatizo ya anaowaongoza