Masudi Kipanya akemewe kabla hajaleta machafuko kama Lars Vilks

Kachambe unye unuse pita hivi huyo mfu wenu mkazikwe naye kwenda
 
Bahati nzuri wasukuma sio magaidi kama wale wengine


Magaidi wale wengine wepi??-- Wewe unalalamika kuitwa Sukuma gang huku Wewe mwenyewe ukiwatusi watu wenzako; MAGAIDI !!, hivi kinywani mwako zimo??!!
 
Kashambuliaje hapo?..
 
Sukuma ni neno la kiswahili na halina maana ya kabila


Ni wao wenyewe waliamua kulipa kabila lao.neno la kiswahili "SUKUMA" sasa neno hilo likitumika kwa maana yoyote ya kiswahili wanakuja juu, Kenya kuna mboga inaitwa Sukuma wiki, sasa na hapo wakawalalamikie wakenya kwa kutumia jina la kabila lao kwa ajili ya mboga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…