Unamuongelea vipi, yulle jamaa aliemtolea nape Bastola hadharani? Ni kijana wa kazi? Mbona kamanda wa kanda maalumu alimkataa? Je,Ni asiejulikana?Wasiojulikana ni wale wahuni ambao hawajulikani, vijana wa kazi ni plain clothed police, ndio wanaotumia pingu.
P
Yaah kama WAJUMBE vile wakati wa Uchaguzi.Hao huitwa "keyboard warriors", kamwe usijichanganye kufata wanachokuelekeza humu JF maana wako vise versa is totally true by 100%.
Karibu mitaa hii Shambulio la Lissu: Wajue wasiojulikana watakaojulikana na 'Wasiojulikana' ambao kamwe, hawatajulikana na hii TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe!Unamuongelea vipi, yulle jamaa aliemtolea nape Bastola hadharani? Ni kijana wa kazi? Mbona kamanda wa kanda maalumu alimkataa? Je,Ni asiejulikana?
mambo!
Thanks,
Hata wewe unaweza kumiliki pingu mbona...Wasiojulikana ni wale wahuni ambao hawajulikani, vijana wa kazi ni plain clothed police, ndio wanaotumia pingu.
P
Karibu, mimi ni mwandishi wa IJ, hivyo hao wasiojulikana sisi waandishi wa IJ, tunawadakua within no time!, Serious Media inaweza kuwabaini "wasiojulikana" Deo MasakilijaThanks,
Naomba kushiba maarifa Sasa, nitakurudia
Pelelezeni basi kwanza mjue huyo kijana anajishugulisha na nini?Karibu, mimi ni mwandishi wa IJ, hivyo hao wasiojulikana sisi waandishi wa IJ, tunawadakua within no time!, Serious Media inaweza kuwabaini "wasiojulikana" Deo Masakilija
Na serikali yetu iliposhindwa kuwabaini wasiojulikana, watu humu tukajitolea kusaidia WanaJF, je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi?
P
Breaking: Kijana mmoja achukuliwa Maswa na wasiojulikana, AFUNGWA PINGU na kupandishwa kwenye gari,Familia yatafuta vituo vya polisi bila mafanikio
Kuna miili ya watu wawili imeokotwa na polisi kwenye kilima kati ya Pangawe na Kiroka Morogoro vijijini. Inasemekana mili hiyo ilikuwa imenyongwa.. inasemekana pia ni miili ya wanaume wa umri wa kati.
Uhuni umerudi kama enzi zile.. tuamke.. tunaweza kuisha kiboya kama tunaendelea kuwachekea maccm
Du Kwamba wale jamaa wamerudi uku kwetu si waliondoka na Mzee hawa itabid niwasiliane na gweru anipe mbinu kumsaka,IBRA wa PILI fika hapa mara moja mkuu, kuna hii sintofahamu uje uitolee maelezo mkuu
Kuna maswali kidogo: 1. Nani alikuwepo mwingine dukani wakati wa tukio na hao waliomchukua walimvamia na kumbeba mzobemzobe kimafia au waliongea na kukubaliana?Breaking: Kijana mmoja achukuliwa Maswa na wasiojulikana, AFUNGWA PINGU na kupandishwa kwenye gari,Familia yatafuta vituo vya polisi bila mafanikio.
View attachment 2459115
Kutokea wapi? Unahisi wote wanaishi Dar?Kuna kitu cha Milioni kama zawadi kwa atakayefanikisha kumpata.
Nauli ya Maswa ni sh. ngapi?
Katika mazingiria Kama hayo,Kuna maswali kidogo: 1. Nani alikuwepo mwingine dukani wakati wa tukio na hao waliomchukua walimvamia na kumbeba mzobemzobe kimafia au waliongea na kikubaliana?
2. Kama kulikuwa na raia wengine pembeni na ndugu yetu kafuatwa na watu wasiojulikana; na akakubali kuondoka nao tena saa 11.000 jioni, bila kuomba msaada kwa hao raia wenzake, basi tuanze kufikiria nyendo zake binafsi za kibiashara au maisha yake mengine ktk jamii. Hao wanajuana.
3. Kama waliofika dukani walijatambulisha ni watu wa vyombo vya dola, kwanini tuwaite wasiojulilana? #Tuondoea hisia zisizo na FACTS bali tujaribu kuestablish FACTS.πππ