Mleta mada kasema zingine zote zinakufa hapo ndipo ugomvi wetu ulipo kuwa si sahihi hiloMbagala si watapandia mbagala. Ila magari yataanzia mbezi then watapita temeke mpaka mbagala then kimoja to mtwara.
The same to route ya moshi. Wanaanzia mbezi wanaikamata ubungo mwenge tegeta bunju bagamoyo then boom
Stand ndogo haziwezi kufa. Inakufa ile ya ubungo tu.Mleta mada kasema zingine zote zinakufa hapo ndipo ugomvi wetu ulipo kuwa si sahihi hilo
Mitano tenaSipati picha basi limetoka mtwara mtu anashuka mbagala mwenye basi akifika mbagaka anaongeza mwendo anasema hakuna kushuka hapa lazima nikawashushe mbezi !l
Au basi limetoka Moshi au Arusha watu wanashuka Tegeta dereva anaongeza moto kuwa hakuna kushuka lazima nikawsdhushe mbezi maruhuni nyie hashishwi mtu hapa!!! Haturuhusiwi tumeambiwa lazima tuwashushe mbezi
Sipati picha kitakachomkuta dereva!!!!
Katika ile mitano tena ndio kwanza tupo mwaka wa kwanza tena mwezi wa pili tu, mtanyooka.Kuna tatizo hapo imagine unashuka saa sita usiku na daladala hakuna na una mizigo mingi mikubwa!!!
Wenye mabasi kushusha ofisi zao ilikuwa ni huduma nzuri ya kumsaidia abiria
Kinachotakiwa kitamkwe ni kuwa basi zote zipitie stendi kuu kuanzia safari au kumaliza safari ziwe na abiria au la lazima zipitie ila kusema marufuku kuwa na abiria haliko sawa
Pili kuua hivyo vituo vingine vilivyokuwepo ni kuua ajira za mamia ya watu waliokuwa wakipata riziki zao kupitia hizo stendi ndogo kuanzia maduka teksi bodaboda bajaj wabeba mizigo mama lishe nk zingeachwa tu kama sehemu ya Transit kama ilivyo ndege tu kuwa stendi kuu ubungo stendi ndogo temeke Au mbagala au tegeta au kariakoo au ofisi juu ya basi nk ili kuondoa usumbufu kwa abiria .Sipati picha mtu anaishi mbagala anaenda mtwara aende mbezi kupandia gari kule wakati mfano mwenye gari ana ofisi kuu hapo hapo mbagala na basi linaanzia hapo kwenda mbezi kubeba abiria!!!!
Chukulia mfano basi zima wamekata tiketi watani zangu wamakonde wanaoishi mbagala wanaenda kwao basi linaanzia hapo hapo mbagala ofisi kuu ya basi .Kwa hiyo hao makonde wanatakiwa wapande daladala kwenda mbezi na hilo basi liende tupu hadi mbezi lipakie hao makonde kwenda nao mtwara!!! ni kituko badi watakalopanda liko mbeke yao tupu na wao wako kwenye daladala kwenda mbezi
Haya maamuzi mengine hayako sahihi
Kuna njia pale kibamba ccm nasikia ina pigwa mkeka inatokea tgt sijui bunju, ila kama ujuavyo makampuni mengi ya mabasi yamefungua ofisi zao so usiwe na wasi wasi, kama zaman stand ilikuwa kisutu na watu walikuwa wanatoka mbagala hadi kisutuKuna tangazo linasema safari zote zote, zitaanzia stend mpya MAGUFULI. Tangazo linazidi kusema Mabasi makubwa wakodishe mini bus kuwasafirisha abiria kuwaleta stend mpya au wawaelekeze abiria kuja Mbezi. Sasa swali:
1. Anayekwenda Mtwara na yuko Mbagala, naye aje Mbezi? maana tangazo linasema stend zote za Temeke etc zimefutwa
2. Anayekwenda Tanga/Moshi/Arusha na yuko Tegeta aje Mbezi if not so, mabasi yaliyokuwa yanapitia Bagamoyo niliyoyataja hapo juu , mtu wa Tegeta atayapandia wapi? aje Mbezi?
3. Mabasi ya Tanga/Moshi/Arusha kupitia Bagamoyo yatachukua njia gani kukusanya watu wa Mwenge, Tegeta, Bunju then na kuendelea na safari ya kwenda Mikoa hiyo via Bagamoyo? Au wa Mwenge aje Mbezi? Wa Bunju? AU MABASI YATATOKA MBEZI NA KUJA NA MOROGORO ROAD, UBUNGO, MWENGE NA KUINGIA BAGAMOYO ROAD??
Msaada tafadhali wa maswali hayo.
Mbagala hadi kisutu mbona sio mbali mkuu,Kuna njia pale kibamba ccm nasikia ina pigwa mkeka inatokea tgt sijui bunju, ila kama ujuavyo makampuni mengi ya mabasi yamefungua ofisi zao so usiwe na wasi wasi, kama zaman stand ilikuwa kisutu na watu walikuwa wanatoka mbagala hadi kisutu
Gharama za usafiri zitapanda sanaKuna tangazo linasema safari zote zote, zitaanzia stend mpya MAGUFULI. Tangazo linazidi kusema Mabasi makubwa wakodishe mini bus kuwasafirisha abiria kuwaleta stend mpya au wawaelekeze abiria kuja Mbezi. Sasa swali:
1. Anayekwenda Mtwara na yuko Mbagala, naye aje Mbezi? maana tangazo linasema stend zote za Temeke etc zimefutwa
2. Anayekwenda Tanga/Moshi/Arusha na yuko Tegeta aje Mbezi if not so, mabasi yaliyokuwa yanapitia Bagamoyo niliyoyataja hapo juu , mtu wa Tegeta atayapandia wapi? aje Mbezi?
3. Mabasi ya Tanga/Moshi/Arusha kupitia Bagamoyo yatachukua njia gani kukusanya watu wa Mwenge, Tegeta, Bunju then na kuendelea na safari ya kwenda Mikoa hiyo via Bagamoyo? Au wa Mwenge aje Mbezi? Wa Bunju? AU MABASI YATATOKA MBEZI NA KUJA NA MOROGORO ROAD, UBUNGO, MWENGE NA KUINGIA BAGAMOYO ROAD??
Msaada tafadhali wa maswali hayo.
Hii ni haki mkuu kwan si kuna usafiri wa kuwatoa watu mbagala mpaka mbezi luis.Mbagala hadi kisutu mbona sio mbali mkuu,
Imagine mbagala hadi mbezi Louis?! Wengine wanatokea mbande, chamazi mpaka mbezi mwisho?!
Wengine wanatokea kongowe, mwandege, kigamboni, kibada, kisemvule mpaka mbezi Luis ?!
Ukifahamu fika hakuna route ya basi la moja kwa moja kutoka mbagala, mbande, chamazi, kongowe, kigamboni au kisemvule mpaka mbezi ?! Si mateso hayo?!
Hii sio haki ni unyanyasaji mkubwa!
Mabasi yaruhusiwe kupakia abiria kutoka ofisi zao ndogo lakini lazima yapitie stend kuu ya mbezi, na sio kuyazuia kabisa kupakia kwenye stand zao ndogo!
[emoji2][emoji2]Vitaendelea kutoa huduma zote ila sio kupakia na kushusha abiria
Target ya serikali ni wakusanye mapato so bus zote lazima ziingie stand ziache hesabu na kukaguliwa kisha nadhani watapewa karisit kisha wataondoka na abiria wao kwenda wanakojua wao.Vitaendelea kutoa huduma zote ila sio kupakia na kushusha abiria
Hii ni haki mkuu kwan si kuna usafiri wa kuwatoa watu mbagala mpaka mbezi luis.
Mkuu kumbuka kuna ushuru (mara ya mwisho kuingia Ubungo pale nililipa Tsh 200 nahisi hii ya Mbezi watafanya 500) nitaulipa mimi abiria wa basi lako nikitaka kuja kuifata gari stand,na wewe kitendo cha driver wako kusaini mule ndani kwamba bus inatoka kuna salio ataacha pale.Yani basi linalala yard kwangu na abiria wa karibu wanakuja kupandia hapo nalo ni kosa.....
Mkuu tukitaka kila mtu kituo kiwe karibu na kwake tutafika kweli?Kuna tangazo linasema safari zote zote, zitaanzia stend mpya MAGUFULI. Tangazo linazidi kusema Mabasi makubwa wakodishe mini bus kuwasafirisha abiria kuwaleta stend mpya au wawaelekeze abiria kuja Mbezi. Sasa swali:
1. Anayekwenda Mtwara na yuko Mbagala, naye aje Mbezi? maana tangazo linasema stend zote za Temeke etc zimefutwa
2. Anayekwenda Tanga/Moshi/Arusha na yuko Tegeta aje Mbezi if not so, mabasi yaliyokuwa yanapitia Bagamoyo niliyoyataja hapo juu , mtu wa Tegeta atayapandia wapi? aje Mbezi?
3. Mabasi ya Tanga/Moshi/Arusha kupitia Bagamoyo yatachukua njia gani kukusanya watu wa Mwenge, Tegeta, Bunju then na kuendelea na safari ya kwenda Mikoa hiyo via Bagamoyo? Au wa Mwenge aje Mbezi? Wa Bunju? AU MABASI YATATOKA MBEZI NA KUJA NA MOROGORO ROAD, UBUNGO, MWENGE NA KUINGIA BAGAMOYO ROAD??
Msaada tafadhali wa maswali hayo.
Huu ujinga upo Tanga,
Mnashushwa Kange, mnapandishwa daladala had mjini, Bus linaenda tupu mjini. Na vice versa
Halafu mizigo mtachukua mjini.