Maswali kuhusu Nuhu na gharika kuu

Maswali kuhusu Nuhu na gharika kuu

Yalikuwa ni mafuriko ya mto frati,na safini ilikua ngalawa,
wanyama walikua mbuzi wachache na kondoo
Kama ni mafuriko yalikuwa hiyo mito unataka kusema Mungu ni mwongo maana mwisho wa hiyo hadithi kuna ahadi imetolewa kuwa hakutakuja kuwa na mafuriko kama hayo tena duniani. Sasa ni mara ngapi mito inafurika na watu wanakufa hapa duniani? Ina maana Mungu alidanganya?!
 
Kwa uelewa wangu juu ya bible ni kwamba, hiyo gharika sio kwamba Dunia nzima iliathirika bali ni eneo/mahali/nchi aliyoishi Nuhu/Noah.
Ni kama yale matukio mengine ya adhabu kama Sodoma na Gomora au miaka 7 ya njaa Misri au kama namna Mungu alivyotaka kuiadhibu Ninawi, hayo yote ni eneo husika tu ndo linge-suffer.
ila bible imeweka clear kabisa hii ilikua ni dunia nzima
 
Hapa hutapata jibu, as matter of fact hakuna aliyewahi kujibu haya maswali magumu zaidi ya kusema Mungu ni muweza wa yote!
 
Sasa ukianza hizi argument za uweza wa chochote kulikuwa na haja gani ya kukusanya hao wanyama wawili wawili, kwani wangeshindwa kukaa kwenye hayo mafuriko na kuendelea kuishi kwa uweza wake? Au hata wasingeendelea kuishi kama aliwaumba mwanzo kuna ugumu gani kuwaumba kwa mara ya pili?

mhhhhhh
 
Sasa ukianza hizi argument za uweza wa chochote kulikuwa na haja gani ya kukusanya hao wanyama wawili wawili, kwani wangeshindwa kukaa kwenye hayo mafuriko na kuendelea kuishi kwa uweza wake? Au hata wasingeendelea kuishi kama aliwaumba mwanzo kuna ugumu gani kuwaumba kwa mara ya pili?
umenena mkuu, big up
 
In fact Noah gathered all kinds of animals, 2 clean and 7 unclean. The bible doesn't tell us there are species which didn't enter the ark. BTW have you ever wondered how did Noah manage to take all animals in the ark, including dangerous animals such as lion, leopard, snakes, etc?
im wondering about that too
 
Namba 2, nadhani aliyefanya hiyo kazi ni yule mdudu mpendwa, mwenye nyama nyeupee lainiii yenye mafuta meeengi,mara nyingi ukiwa kwa muuzaji unajipimia kilo utakazo then inatayarishwa jikoni
mhh, ila asingemaliza yote mkuu, maana walikua wawili tu, halafu na hizo pair nyingine zilikua maelfu
 
"Mambo ya siri ni ya Bwana, Mungu wetu; lakini mambo yaliyofunuliwa ni yetu sisi na watoto wetu milele, ili tuyafanye maneno yote ya sheria hii." - Kumbukumbu la Torati 29:29

Kama hayo uliouliza hayajafunuliwa au kuwekwa wazi, basi yanabaki kuwa siri ya Mungu mwenyewe. Hapa, mnajadili upepo tu!
sasa tukisoma bible tusipoelewa tusiulizane mkuu??
 
Kwa uelewa wangu juu ya bible ni kwamba, hiyo gharika sio kwamba Dunia nzima iliathirika bali ni eneo/mahali/nchi aliyoishi Nuhu/Noah.
Ni kama yale matukio mengine ya adhabu kama Sodoma na Gomora au miaka 7 ya njaa Misri au kama namna Mungu alivyotaka kuiadhibu Ninawi, hayo yote ni eneo husika tu ndo linge-suffer.
Hapana mkuu ni dunia yote, na walipona watu 8 tu dunia nzima, na ndipo kizazi cha dunia ya leo kilianzia hapo.
 
Ukisoma kuna watu waliwekwa kwenye tanuru la moto na hawakuungua..
Kakae wewe tuwashe moto tuone..
'Alitenga maji na anga kisha akatenga maji na maji'
sasa kumuweka simba na kondoo pamoja anashindwaje???
excretion???? kama aliwafunga matumbo je..
Heri yao waaminio kama mtoto mdogo maana ufalme wa mungu ni wao..
ujitahidi kusali kabla ya kusoma bible ili uweze kufunuliwa uyasomayo
Umenena vema mno.
 
That's true story,though it contains spiritual meaning rather than worldy meaning.,but so far as we allowed to know is the lion was lying with a lamb because GOD can allow that,we have been told in holy scripture of bible that during a millenium there wont be enemity between a lion and lamb or anyone.,refer the story of meshack,daniel and abednego who were cast in the lion's dens and GOD closed the lions mouths from.harming them.
How they travelled??_the ark landed on mount ararat in asia,and due to unknown process to men they managed to travel to their respective oceans and sea with those conditions of cold or salty,but generally GOD didnt create or add anything all the seed and kinds' brought by noah were the one that prevailed even dinosaurs were brought by noah.
 
the spiritual message is not that people were wicked and GOD decoded to punish them,but behind this story is concerned with the planet earth ordinances,.,,....
 
Kweli nimeamini kua mungu alituumba na akatupa akili lakini hatuna akili....!

Hivi unawezaje kuhoji namna wanyama walivyo bebwa, mvua ilivyojaza dunia na mengine alafu ukashindwa kujiuliza kwanza kabisa nivipi hivyo vitu vilipata kuwepo in a first place?

Mi nafikiri uwezo wa mungu hatuwezi kuujadili kwa kutumia hizi akili zenye viroba kichwani kama watu wanaosemekena kua na iq kubwa walio wahi kuwepo hawakuweza kutoa majibu ya kila kitu, vipi wewe na mimi tunao kula mkate na maharage na kushiba alafu tunaenda kujisaidia toi.. Tuweze kuwa na majibu yoote?

Kumbuka kua uwezo wa mungu haufuati matwakwa ya mwanadamu au kiumbe chochote...

Kama unataka tujadili, ebu kwanza nipe sababu za wewe kutokea kwenye makamasi meupe na yanayo nuka harufu kali mpaka kufikia mtu mwenye miraba minne na mwisho ukaanza kuhoji issues za mungu wakati wewe mwenyewe asili yako haina majibu ya kujitosheleza...

It begins with u!
Stigemei wanao tumia povu kichwani kama watanielewa hapa!
 
Sasa ukianza hizi argument za uweza wa chochote kulikuwa na haja gani ya kukusanya hao wanyama wawili wawili, kwani wangeshindwa kukaa kwenye hayo mafuriko na kuendelea kuishi kwa uweza wake? Au hata wasingeendelea kuishi kama aliwaumba mwanzo kuna ugumu gani kuwaumba kwa mara ya pili?
Kwani ni lazima yeye angemtuma mwana wake wa pekee aje atuokoe??? Au hata angemtuma, si angekuja angeshuka na moto na mikwala mingi ili aonekabe kweli ni mwana wa mungu?? kwa nini alizaliwa kimasikini katika holi la ngombe.
si angetuokoa tu akiwa uko uko mbinguni?????
yeye mwenye uweza anafanya mambo yake kwa makusudi yake maalumu na kwa dimension zake yeye aonavyo yeye.
tuwe na kawaida ya kusoma biblia kwa juhudi ndugu zanguni..
tusisome vimistari viwili vitatu tukaishia hapo...
tafuteni kwanza ufaalme wa mungu na hayo yote mtazidishiwa..
amina
 
im wondering about that too
Snakes and leopard walikuja kuwa dangerous baada ya uasi..
adam aliishi nao vizuri tu kina simba n.k
baada ya uasi agano la awali la mungu na binadamu likabatilishwa..
tujitahidi kuisoma biblia kwa undani kwani kuna hatari ya vizazi vyetu vijavyo vikakosa kabisa maarifa hayo
 
Snakes and leopard walikuja kuwa dangerous baada ya uasi..
adam aliishi nao vizuri tu kina simba n.k
baada ya uasi agano la awali la mungu na binadamu likabatilishwa..
tujitahidi kuisoma biblia kwa undani kwani kuna hatari ya vizazi vyetu vijavyo vikakosa kabisa maarifa hayo
so kipindi cha nuhu pia tayari walikua hatari,
swali ni kua wanyama walao nyama walikua wanakula nini? na wanaokula majani walikua wanakula nini?
 
so kipindi cha nuhu pia tayari walikua hatari,
swali ni kua wanyama walao nyama walikua wanakula nini? na wanaokula majani walikua wanakula nini?
WATU WANGU WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA
 
WATU WANGU WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA
jibu swli mkuu....kwa uelewa wangu mdogo gharika ilikuwa baada ya Adam..je walikuwa hatari na je waliishije humo ndani!? Na kwa nini huyo mungu alitumia process ndefuu hivyo while anauwezo wa kusema kitu na kikatokea!?
 
jibu swli mkuu....kwa uelewa wangu mdogo gharika ilikuwa baada ya Adam..je walikuwa hatari na je waliishije humo ndani!? Na kwa nini huyo mungu alitumia process ndefuu hivyo while anauwezo wa kusema kitu na kikatokea!?
mwneyewe nimejiuliza hili swali, yaani alichofanya ni kama mtu kuchoma nyumba ili aue panya wanaokula nafaka zake, wakati alikua na uwezo wa kutumia mbadala mzuri zaidi
halafu anaposema zamani simba wala chui hawakua hatari anamaanisha walikua hawali nyama??
hii story ya nuhu ukiitafakari utaona ni kama zile fable story za darasa la pili wanazosimuliwa watoto ili kuwatisha wawe na maadili
 
Back
Top Bottom